M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Unataka mtu aliyezaa watoto wawili aendelee kufanya mambo aliyofanya kabla hajazaa?Wakati wa uchumba ulikuwa unajitahid kukata "Mauno" mwanzo - mwisho mpaka nikasema hapa nimepata, sasa tumefunga ndoa na sasa una watoto wawili ndani, lakini Mauno umesitisha, kulikoni? Yaani in-short CARE na UTUNDU kitandani umepungua kama sio kupotea kabisa. Jamani mnataka twende wapi sisi wagalatia wa ndoa ya mke mmoja? Bora wenzetu wa upande wa pili wanaruhusiwa wake wanne at a time, pia kwao talaka imeruhusiwa tofauti na sisi huku.
NB: Wake zetu badilikeni.
cc. Baba Paroko,
Bcc. Askofu, Nabii, mtume, Dr......
hahaaaaaaa hakyamungu mungu anakuona mkuuUnataka mtu aliyezaa watoto wawili aendelee kufanya mambo aliyofanya kabla hajazaa?
Wewe ushazaa hata mmoja ujue dhahma yake?
Very true,mbaya zaidi badala azungumze nae...analeta huku hahahaa.Hayo sijui ndo mauno mi huwa naona yako overrated sana.
Siku hizi wanasayansi wanaweza kugundua teknolojia mwanamme abebe mimba iliyotungwa kwingine.hahaaaaaaa hakyamungu mungu anakuona mkuu
sio kwa kumpeleka leba
Unataka mtu aliyezaa watoto wawili aendelee kufanya mambo aliyofanya kabla hajazaa?
Wewe ushazaa hata mmoja ujue dhahma yake?
Sasa badala ya kuongea haya na mkeo unaleta huku! Unadhani utapata ufumbuzi? Mkalishe mkeo mueleze unachotaka. Wanawake wakizaa attention inaenda sana kwa watoto, mwanaume usipokua muangalifu utasahaulika tu. We chukua nafasi yako kama mwanaume na mueleze utakacho.Wakati wa uchumba ulikuwa unajitahid kukata "Mauno" mwanzo - mwisho mpaka nikasema hapa nimepata, sasa tumefunga ndoa na sasa una watoto wawili ndani, lakini Mauno umesitisha, kulikoni? Yaani in-short CARE na UTUNDU kitandani umepungua kama sio kupotea kabisa. Jamani mnataka twende wapi sisi wagalatia wa ndoa ya mke mmoja? Bora wenzetu wa upande wa pili wanaruhusiwa wake wanne at a time, pia kwao talaka imeruhusiwa tofauti na sisi huku.
NB: Wake zetu badilikeni.
cc. Baba Paroko,
Bcc. Askofu, Nabii, mtume, Dr......
Samaki nishamvuaa na keshakufaa..... Ndoano ya nini tena.Wakati wa uchumba ulikuwa unajitahid kukata " Mauno " mwanzo - mwisho mpaka nikasema hapa nimepata. Sasa tumefunga ndoa na una watoto wawili ndani, lakini Mauno umesitisha, kulikoni?
Yaani in-short CARE na UTUNDU kitandani umepungua kama sio kupotea kabisa. Jamani mnataka twende wapi sisi wa ndoa ya mke mmoja? Bora wenzetu wa upande wa pili wanaruhusiwa wake wanne at a time, pia kwao talaka imeruhusiwa tofauti na sisi huku.
Wake zetu badilikeni.
cc. Baba Paroko,
Bcc. Askofu, Nabii, mtume, Dr......
hebu tenga sufuria lako jikoni afu weka maji tia mchele wako ikiesha hapo tulia litizame sufuria lako likichemka bila kuligeuza pindua.. afu subiri uone utakachopata....Wakati wa uchumba ulikuwa unajitahid kukata " Mauno " mwanzo - mwisho mpaka nikasema hapa nimepata. Sasa tumefunga ndoa na una watoto wawili ndani, lakini Mauno umesitisha, kulikoni?
Yaani in-short CARE na UTUNDU kitandani umepungua kama sio kupotea kabisa. Jamani mnataka twende wapi sisi wa ndoa ya mke mmoja? Bora wenzetu wa upande wa pili wanaruhusiwa wake wanne at a time, pia kwao talaka imeruhusiwa tofauti na sisi huku.
Wake zetu badilikeni.
cc. Baba Paroko,
Bcc. Askofu, Nabii, mtume, Dr......