Wake zetu mbona hamjishughulishi tuwapo faragha kama enzi za uchumba?



Wenzako Enzi za uchumba walikuwa wanabembeleza, wakishakuzoea wanaona hauna jipya ndipo wanatafuta mtu kama mimi kuchukua nafasi yako maana wewe umeshakuwa kaka tayari.
 
Kuna dawa nzuri Kwenye Kampuni yetu ya Maponeo Herbal Company Ltd ya kurejesha hamu kwa wanandoa ,kuimarisha hisia na misuli na kuboresha maujuzi mkuu.we njoo tuongee 0746482119.utanishukuru..Asante.
 
Ongea vizuri na mkeo,lakini pia umletee msaidizi mnawachosha watoto wa watu,mda huo akatike,mda huo akupikie na wakati huo aangalie watoto
 
Uchaguzi ukiisha kampeni za nini tena😁
 
Uchaguzi ukiisha kampeni za nini tena😁
 
Umeongea jambo jema sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…