Wake zetu, wachumba zenu ni Baba mmoja, Mama moja

Wake zetu, wachumba zenu ni Baba mmoja, Mama moja

Mbina yaza

Member
Joined
Apr 8, 2023
Posts
65
Reaction score
172
Kwanza naomba niweke ushabiki pembeni, wake zetu kuna wakati wanakera sana sio kwa ubaya lakini maswali yao na jinsi wanavyotaka uwajibu!

1. Ukitaka vita kali usimsifie mke wako, atakuja na vyombo kanunua huko kariakoo siku nzima, vyombo vyenyewe kama mwanaume huwezi maliza hata dakika 10 kuvinunua,lakini yeye atazunguka siku nzima, na akija navyo home yakupasa umpongeze,la sivyo utanuniwa hadi uone nyumba chungu!

2. Asubuhi akiwa anaenda kazini, mpongeze mke wangu umependeza, kama hujafanya hivyo basi jitaidi sana jioni mpongeze, la sivyo vita ya Ukraine na Russia itahamia kwako! Utajuta maana utaulizwa hayo maswali hadi utachukia tu!

3. Unarudi home una mawazo ya future ya watoto itakuaje yeye anakupokea na story jinsi amehangaika mjini kutafuta shuka alizonunua siku hiyo, ninabidi umsikilize na kumpongeza tofauti na hapo unatafuta kununiwa.

4. Unarudi home na mahangaiko ya siku nzima, maokoto yamegoma kabisa, upo zako sebuleni unawaza hili na lile,kipi ufanye uweze pata maokoto siku ya kesho, yeye anakupigisha story za tamthilia anayoangalia, maswali kibao! Usipo support tu tamthilia yake shida kubwa sku hiyo! Utanuniwa.

5. Kila kitu kipo ndani ya nyumba! Lakini haoni chakupika hadi akuulize, leo tunakula nini! Sasa unajiuliza kwani nisipokuwepo ndiyo hua hawali hawa watu???

Mungu anawaona

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo kama una stress za maokoto ndio usisemeshwe? Usipigiwe story na mpenzi wako? Asikupe taarifa ya bidhaa alizo nunua?
Ndio usiulizwe hata unajisikia kula nini hiyo siku? Wewe vipi bhana?
 
Copy & paste


IMG_3859.png
 
Hapo bado hujaulizwa...

Babe, hivi nikigeuka mjusi muda huu bado utaendelea kunipenda? Ole wako uoneshe mshango...
 
Kwahiyo kama una stress za maokoto ndio usisemeshwe? Usipigiwe story na mpenzi wako? Asikupe taarifa ya bidhaa alizo nunua?
Ndio usiulizwe hata unajisikia kula nini hiyo siku? Wewe vipi bhana?
Mnachosha sana.Mjifunze kutulia.
 
Kwanza naomba niweke ushabiki pembeni, wake zetu kuna wakati wanakera sana sio kwa ubaya lakini maswali yao na jinsi wanavyotaka uwajibu!

1. Ukitaka vita kali usimsifie mke wako, atakuja na vyombo kanunua huko kariakoo siku nzima, vyombo vyenyewe kama mwanaume huwezi maliza hata dakika 10 kuvinunua,lakini yeye atazunguka siku nzima, na akija navyo home yakupasa umpongeze,la sivyo utanuniwa hadi uone nyumba chungu!

2. Asubuhi akiwa anaenda kazini, mpongeze mke wangu umependeza, kama hujafanya hivyo basi jitaidi sana jioni mpongeze, la sivyo vita ya Ukraine na Russia itahamia kwako! Utajuta maana utaulizwa hayo maswali hadi utachukia tu!

3. Unarudi home una mawazo ya future ya watoto itakuaje yeye anakupokea na story jinsi amehangaika mjini kutafuta shuka alizonunua siku hiyo, ninabidi umsikilize na kumpongeza tofauti na hapo unatafuta kununiwa.

4. Unarudi home na mahangaiko ya siku nzima, maokoto yamegoma kabisa, upo zako sebuleni unawaza hili na lile,kipi ufanye uweze pata maokoto siku ya kesho, yeye anakupigisha story za tamthilia anayoangalia, maswali kibao! Usipo support tu tamthilia yake shida kubwa sku hiyo! Utanuniwa.

5. Kila kitu kipo ndani ya nyumba! Lakini haoni chakupika hadi akuulize, leo tunakula nini! Sasa unajiuliza kwani nisipokuwepo ndiyo hua hawali hawa watu???

Mungu anawaona

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Si ulimpenda mwenyewe mkuu..ni shida yako binafsi.
Na usiseme wanawake wote baba yao mmoja.sema mkeo ana babake

Mimi sipendi mwanaume mfuatiliaji wa tamthilia..mambo ya kimama hayo

Lazima niwe nayajua maisha tunayoishi na hustle zetu ni za aina gani.akirudi akinieleza ataambulia pole na mihangaiko na kumbatio,kumpa tumaini kesho itakuwa njema.

Kama mwanamke lazima njiongeze kubadili vyakuoa kwa kile kilichopo kama akiba.kuulizwa unakula nini it doesn't mean sijui npike nini bali nahitaji maoni yako..kukufurahisha!
 
Kwanza naomba niweke ushabiki pembeni, wake zetu kuna wakati wanakera sana sio kwa ubaya lakini maswali yao na jinsi wanavyotaka uwajibu!

1. Ukitaka vita kali usimsifie mke wako, atakuja na vyombo kanunua huko kariakoo siku nzima, vyombo vyenyewe kama mwanaume huwezi maliza hata dakika 10 kuvinunua,lakini yeye atazunguka siku nzima, na akija navyo home yakupasa umpongeze,la sivyo utanuniwa hadi uone nyumba chungu!

2. Asubuhi akiwa anaenda kazini, mpongeze mke wangu umependeza, kama hujafanya hivyo basi jitaidi sana jioni mpongeze, la sivyo vita ya Ukraine na Russia itahamia kwako! Utajuta maana utaulizwa hayo maswali hadi utachukia tu!

3. Unarudi home una mawazo ya future ya watoto itakuaje yeye anakupokea na story jinsi amehangaika mjini kutafuta shuka alizonunua siku hiyo, ninabidi umsikilize na kumpongeza tofauti na hapo unatafuta kununiwa.

4. Unarudi home na mahangaiko ya siku nzima, maokoto yamegoma kabisa, upo zako sebuleni unawaza hili na lile,kipi ufanye uweze pata maokoto siku ya kesho, yeye anakupigisha story za tamthilia anayoangalia, maswali kibao! Usipo support tu tamthilia yake shida kubwa sku hiyo! Utanuniwa.

5. Kila kitu kipo ndani ya nyumba! Lakini haoni chakupika hadi akuulize, leo tunakula nini! Sasa unajiuliza kwani nisipokuwepo ndiyo hua hawali hawa watu???

Mungu anawaona

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app



Umemuelezea Mwanamke alivyo na alivyoumba, sasa kama hayo huyawezi ishi mwenyewe.
 
Back
Top Bottom