Zigi Rizla
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 1,064
- 1,107
Sh3k about 66k kwa pesa ya madafuWhat is the fare for your SGR vip class?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sh3k about 66k kwa pesa ya madafuWhat is the fare for your SGR vip class?
Mbona kejeli?. Mbona unatoa povu?Hivi hiyo sgr ya Kenya ni kwa ajili ya tourism au pia inatumika kama treni ya kawaida na watu wa kawaida siku za kawaida? Kwa maana mimi huisikia holliday season tu.
Hio ni treni moja tu inachota watu 1260. Mbona hujauliza treni ngapi zinasafiri kwa siku? Niulize nikupe jibu.Fully booked na watu 1260 lol bado sana
Hii ni idadi ya wasafiri wa Tanzania kutoka Arusha kwenda Singida wala Dar na Mwanza sijawaweka
Kenya hamna wasafiri kabisa, nenda pale ubungo bus terminal au bus terminals za miji yote Tanzania kisha hesabu idadi ya mabasi ndio utajua Tanzania watu wanasafiri haswa.
Sh3k about 66k kwa pesa ya madafu
Mbona una dharau kwa Wakenya wa Jf?Wenye hela zao wengi huja Tz. Utaona magari mob ya plate # zao huku kipindi cha holidays.
Hawa wa JF wengi hakuna kitu.
Hatujui ni mdomo tuuMbona una dharau kwa Wakenya wa Jf?
Sijageneralize bhana, soma tena vizuri. Alafu watu unawajua kwa maandishi yao tu.Mbona una dharau kwa Wakenya wa Jf?
Na ile standard ticket ya 1k? Train inaenda na 4hrs 30min.And you travel 6-7hrs, Kumbe the thing is that cheap, Ni usafiri wa Watu wa hali ya Chini, Acheni basi kutusumbua na Nyuzi za Kipuuzi.
Kwnza kw hili swala la domestic tourism ndo linamaliza kila kitu kabisa kuhusu vipato...Hatujui ni mdomo tuu
LOL kwani Tanzania huwa ni kuku ndio hulala kwenye hizi hotels?Naton Jr, Beach hata machokoraa huenda, unapoambiwa wakenya katika utalii wa ndani wako vizuri usifikirie ni kuenda beach...
Watu hu book hotels za maana, zile zile za watalii...
Mwezi kufikia tarehe 20, hoteli zote diani, watamu, malindi, kilifi, mombasa, naivasha nk zitakua zimejaa wakenya...
Tena unapoambiwa hoteli tunamaanisha hoteli kweli
a wapi..LOL kwani Tanzania huwa ni kuku ndio hulala kwenye hizi hotels?
Kuchukua room kwenye hotels nalo ni suala la kujadili kweli?
Sielewi labda una maana gani?a wapi..
LOL wanakimbia Kenya sababu Mombasa imejaa pomoniNaton Jr,
Wenye hela zao wengi huja Tz. Utaona magari mob ya plate # zao huku kipindi cha holidays.
Hawa wa JF wengi hakuna kitu.