Wakenya acheni kutumiwa, Ondoeni Majeshi Somalia!

Wakenya acheni kutumiwa, Ondoeni Majeshi Somalia!

Kenya ilipoingia Somalia mbona U.S na U.K waliwatuma ambassador wao kuieleza serikali ya Kenya kwamba hawaungi mkono KDF kutumwa Somalia?Bado tuliingia bila kuwaskiza.Leo mnasema tunatumiwa?Pumba zenu,watz wengine mnaudhi mnajifanya itikadi zenu ni zile kali za kiislamu wakati mnaogopa mkisikia hata mbwa wakibweka.Kama unajiita terrorist fika Somalia kesho mkafatane na KDF acha kuongea upuuzi na kutumia maneno ya kijinga kwenye maswala ya usalama wa nchi yetu tukufu ya Kenya!
 
Wewe ni mpuuzi, toa utaahira wako wa Lumumba hapa Pumbavu wewe, Kenya ni taifa huru lenye serikali yake kamili, huna unalolijua pusi wewe, nani kukudanganya kuwa kenya inatumika? unatia hasira Sana kujifanya Unajua mambo mengi wakati ni Zero brain, faizafoxy ni mwislamu mwenyewe itikadi Kali, ndo maana anasapoti topic yako ya kijuha, faizafoxy anawaunga mkono magaidi wote wa, Alqaeda, Boko Haram, ISIS, na alshababu, Kenya ilichokozwa, magaidi ya alshabab walikuwa wanavuka mpaka na kuingia Kenya na kuteka watalii pamoja na mauaji, sasa ulitaka kenya wakae kimya? wameamua kupigana kiume, unainuka mjinga Kama wewe unasema eti Kenya inatumiwa, siyo umekera Sana, unafikiria Kwa mat**ko Badala ya kichwa, shwaini kabisa, watu wakijihami eti wanatumiwa, funga bakuli lako, nenda ukale ugali wa bure Lumumba huna unalolijua wewe hapa, zero brain.
Naona hilo username lako linafaa kabisa kwa utabibu ya maelezo kwa wasiobarikiwa kuelewa chap chap kama mleta mada. Muelezee mTZ mwenzako jinsi KDF walivyoingia kule,historia yake na madhumuni yake. Pole pole ingiza sindano na dawa imuingie huyu sympathiser wa bokoharam. Afu amesahau pia Uganda na Burundi wamo pale. Yeye na ndugu zake wa masharubu ndefu wawache kututeka na kulipiza mabomu kusudi wapate mademu 72 jehenamu.
 
Back
Top Bottom