Wakenya acheni kutumiwa, Ondoeni Majeshi Somalia!

Kenya ilipoingia Somalia mbona U.S na U.K waliwatuma ambassador wao kuieleza serikali ya Kenya kwamba hawaungi mkono KDF kutumwa Somalia?Bado tuliingia bila kuwaskiza.Leo mnasema tunatumiwa?Pumba zenu,watz wengine mnaudhi mnajifanya itikadi zenu ni zile kali za kiislamu wakati mnaogopa mkisikia hata mbwa wakibweka.Kama unajiita terrorist fika Somalia kesho mkafatane na KDF acha kuongea upuuzi na kutumia maneno ya kijinga kwenye maswala ya usalama wa nchi yetu tukufu ya Kenya!
 
Naona hilo username lako linafaa kabisa kwa utabibu ya maelezo kwa wasiobarikiwa kuelewa chap chap kama mleta mada. Muelezee mTZ mwenzako jinsi KDF walivyoingia kule,historia yake na madhumuni yake. Pole pole ingiza sindano na dawa imuingie huyu sympathiser wa bokoharam. Afu amesahau pia Uganda na Burundi wamo pale. Yeye na ndugu zake wa masharubu ndefu wawache kututeka na kulipiza mabomu kusudi wapate mademu 72 jehenamu.
 
al shabab ni project ya pentagon.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…