Prodigal Son
JF-Expert Member
- Dec 9, 2009
- 1,068
- 711
kwamuda mrefu saana,
kuna magazeti ya kenya ambayo wanahisa nyingi saana kwenye mwnanchi Communication
yamekuwa na TABIA ya kutubeza kwa kija lambo tunalofanya.....na kikubwa zaidi kila jambo kubwa la maendeleo linalofanyika hapa nchini.........wamekuwa wakilinganisha na kwao......kila kukichwa na jaribu kujiuliza motives behind.....
Kuna hili swla la Bandari ya Bagamoyo........sasa hivi wameshaanza kuogopa...........itaipita ile ya kwao ya Mombasa......wao walikuwa na mradi wa bandari ya LAMU pamoja na reli itakayoenda mpaka Ethiopia na Kusini mwa Suydan (JUBA) sisi tumekaa kimya wala hatukuubeza huo mradi wao......pia wana mradi mwingine wa bomba la mafuta......kutako Kusini mwa Sudan mpaka lamu...pamoja na kiwanda cha kusafisha mafuta....,...Watanzania tulikaa kimya...............SASA WAO KWANINI WATUFUATE FUATE........nakumbuka waliona Wivu waliposikia UGANDA wanajenga kiwanda cha kusafisha Mafuta....eti wanataka washirikiane...............Hii mijitu..........ni minafiki.......yana wivu...........na kikubwa zaidi.........kwenye huu ukanda.......... wanajiona wanamaendeleo na akili.....
mnaweza jisomea hii taarifa hapa......
..........................Kenyas status as the regions logistics hub has again come under threat after Tanzania signed a deal with China to set up the blocs largest port and expand Dar es Salaams main airport.
The $11 billion Bagomoyo port will be bigger than the Dar es Salaam and Mombasa ports, tilting the scales of regional trade in favour of Tanzania.
Bagamoyo will have the capacity to handle 20 million containers a year, compared with Mombasas installed capacity of 600,000 and Dar es Salaams 500,000.
The country has also secured $164.3 million from the Netherlands for the expansion of the Julius Nyerere International Airport in Dar es Salaam to ease pressing capacity constraints
....kwa msaada wa .....The East African: Home - Understanding The Region................
Yalivyo na wivu hayakuishia hapo wakagusa na miradi mingine mikubwa inayoendelea ..........................................................READ: Tanzania secures $164m for new airport terminal
Tanzania also plans to construct a railway line linking its coast to the landlocked countries of Uganda, DR Congo, Rwanda and Burundi, which have hitherto used Mombasa-Malaba as the main transport corridor..........READ: Dar to spend $330m on rail upgrade..........Meanwhile, Kenyas efforts to upgrade facilities at the Jomo Kenyatta International Airport, expand the Mombasa port as well as construct the Lamu port, continue to lag behind schedule. Last month, the government cancelled a tender for the construction of a Ksh1 billion ($12 million) temporary terminal at JKIA. The Kenya Airports Authority is yet to kick off the construction of the planned Ksh55 billion ($647 million) airport facility amid continuing procurement controversy. The status of Mombasa as EACs hub has fluctuated wildly over the past few years, with delays in clearance of goods and glaring capacity challenges continuing to hurt regional trade through additional costs.( kwa hisani pia ya The East African: Home - Understanding The Region)
Watanzania tunatakiwa tuamke.......na kupinga kwa nguvu zote...........huu unafiki wa Wakenya.............hawataki wapitwe na chochote kile.......ni vema hata mabidhaa yao tuwasusua kabisa
kuna magazeti ya kenya ambayo wanahisa nyingi saana kwenye mwnanchi Communication
yamekuwa na TABIA ya kutubeza kwa kija lambo tunalofanya.....na kikubwa zaidi kila jambo kubwa la maendeleo linalofanyika hapa nchini.........wamekuwa wakilinganisha na kwao......kila kukichwa na jaribu kujiuliza motives behind.....
Kuna hili swla la Bandari ya Bagamoyo........sasa hivi wameshaanza kuogopa...........itaipita ile ya kwao ya Mombasa......wao walikuwa na mradi wa bandari ya LAMU pamoja na reli itakayoenda mpaka Ethiopia na Kusini mwa Suydan (JUBA) sisi tumekaa kimya wala hatukuubeza huo mradi wao......pia wana mradi mwingine wa bomba la mafuta......kutako Kusini mwa Sudan mpaka lamu...pamoja na kiwanda cha kusafisha mafuta....,...Watanzania tulikaa kimya...............SASA WAO KWANINI WATUFUATE FUATE........nakumbuka waliona Wivu waliposikia UGANDA wanajenga kiwanda cha kusafisha Mafuta....eti wanataka washirikiane...............Hii mijitu..........ni minafiki.......yana wivu...........na kikubwa zaidi.........kwenye huu ukanda.......... wanajiona wanamaendeleo na akili.....
mnaweza jisomea hii taarifa hapa......
..........................Kenyas status as the regions logistics hub has again come under threat after Tanzania signed a deal with China to set up the blocs largest port and expand Dar es Salaams main airport.
The $11 billion Bagomoyo port will be bigger than the Dar es Salaam and Mombasa ports, tilting the scales of regional trade in favour of Tanzania.
Bagamoyo will have the capacity to handle 20 million containers a year, compared with Mombasas installed capacity of 600,000 and Dar es Salaams 500,000.
The country has also secured $164.3 million from the Netherlands for the expansion of the Julius Nyerere International Airport in Dar es Salaam to ease pressing capacity constraints
....kwa msaada wa .....The East African: Home - Understanding The Region................
Yalivyo na wivu hayakuishia hapo wakagusa na miradi mingine mikubwa inayoendelea ..........................................................READ: Tanzania secures $164m for new airport terminal
Tanzania also plans to construct a railway line linking its coast to the landlocked countries of Uganda, DR Congo, Rwanda and Burundi, which have hitherto used Mombasa-Malaba as the main transport corridor..........READ: Dar to spend $330m on rail upgrade..........Meanwhile, Kenyas efforts to upgrade facilities at the Jomo Kenyatta International Airport, expand the Mombasa port as well as construct the Lamu port, continue to lag behind schedule. Last month, the government cancelled a tender for the construction of a Ksh1 billion ($12 million) temporary terminal at JKIA. The Kenya Airports Authority is yet to kick off the construction of the planned Ksh55 billion ($647 million) airport facility amid continuing procurement controversy. The status of Mombasa as EACs hub has fluctuated wildly over the past few years, with delays in clearance of goods and glaring capacity challenges continuing to hurt regional trade through additional costs.( kwa hisani pia ya The East African: Home - Understanding The Region)
Watanzania tunatakiwa tuamke.......na kupinga kwa nguvu zote...........huu unafiki wa Wakenya.............hawataki wapitwe na chochote kile.......ni vema hata mabidhaa yao tuwasusua kabisa