Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Kama hauyajui haya kwaheri...naona bado unahitaji darasa.
Geopolitics involves Tribalism??!! 😯
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hauyajui haya kwaheri...naona bado unahitaji darasa.
La. Sina uhakika.Hakuna maisha bila changamoto,wakati mwingine aina budi kukubaliana na hali halisi,japo sina hakika kama hatujawapigia kura.
Unaweza kuthibitisha ya kwamba hatujawapigia kura?
Wanadhan hii n Somalia wanayocontrol some areas.....Tunachowashangaa ni Kenya kuchanganyikiwa baada ya kusikia Tanzania hatukupigia Kenya, hilo linatushangaza sana. Mbona ninyi mnafanya maamuzi yenu bila kutushirikisha sisi hatuwasemi?
Uko sawa lakini kama mnatukera hatutajali Hilo nasisi tutawakomoeni Sasa mnavotufanyiaga vitimbwi kuwafurahisha wazungu na dunia c tunapenda! ? Huwa mnasahau kama wote n blackKukosa kura ya nyeusi mwenzetu yeyote ukanda huu wa Sahara lazima tupigie kelele, waarabu wamekusanyika na kuungana huko na kuwa kimoja, hata Rwanda au Uganda wangepeleka kura yao Uarabuni lazima tungeng'aka balaa, haya mambo hayafanwyi kwa demokrasia za kwenye vitabu, hii ni high level geopolitics, sidhani kajamba wa Tandale anaweza kuwa na ufahamu wake akishavimbiwa uji wa ulezi.
Hii hata Afrika Kusini wasingetupigia, lazima tugewasema.
Wale n wahabesha na wasomali not pure black...jiongezee nawwMzee sababu yako inakosa mshiko Somalia na Ethiopia vipi?
Unazingua tu.
Toa sababu moja ya kuiandama Tanzania ukiacha Nchi nyingine hizo za Africa
Yaaan mi nakuelewa Sana ....Niko naww kwa upande mmoja....lakini nyie mnavotuchafuaga kuwafurahisha wazungu huwa hamkumbuki kua we are both black!?Narudia tena, nyeusi mwenzetu kutotupigia kura lazima tupige makelele, na kwa taarifa yako hao Wasomali, Wahabeshi na Waarabu wote lao moja, huzungumza kimoja, hivyo Msukuma kwenda kushobokea waarabu na kuwaacha wenzako wote ndani ya SADC na EAC ni ujuha.
Leo hii Msomali mkiwa naye Uarabuni utabaguliwa aachwe yeye hata kama mtakua nyote wa dini moja.
MK254 na mimi leo nipo pamoja na wewe ila update DP yako kwanza ndio tuendelee na huu mjadala, WB watoa takwimu mpya hivi punde[emoji16]Kama hauyajui haya kwaheri, naona bado unahitaji darasa.
Uko sawa lakini kama mnatukera hatutajali Hilo nasisi tutawakomoeni Sasa mnavotufanyiaga vitimbwi kuwafurahisha wazungu na dunia c tunapenda! ? Huwa mnasahau kama wote n black