Wakenya bana kwa hiyo kukosa kura ya Tanzania UNSC imekuwa nongwa?

Wakenya bana kwa hiyo kukosa kura ya Tanzania UNSC imekuwa nongwa?

Hakuna maisha bila changamoto,wakati mwingine aina budi kukubaliana na hali halisi,japo sina hakika kama hatujawapigia kura.
Unaweza kuthibitisha ya kwamba hatujawapigia kura?
La. Sina uhakika.
 
Tunachowashangaa ni Kenya kuchanganyikiwa baada ya kusikia Tanzania hatukupigia Kenya, hilo linatushangaza sana. Mbona ninyi mnafanya maamuzi yenu bila kutushirikisha sisi hatuwasemi?
Wanadhan hii n Somalia wanayocontrol some areas.....
 
Kukosa kura ya nyeusi mwenzetu yeyote ukanda huu wa Sahara lazima tupigie kelele, waarabu wamekusanyika na kuungana huko na kuwa kimoja, hata Rwanda au Uganda wangepeleka kura yao Uarabuni lazima tungeng'aka balaa, haya mambo hayafanwyi kwa demokrasia za kwenye vitabu, hii ni high level geopolitics, sidhani kajamba wa Tandale anaweza kuwa na ufahamu wake akishavimbiwa uji wa ulezi.

Hii hata Afrika Kusini wasingetupigia, lazima tugewasema.
Uko sawa lakini kama mnatukera hatutajali Hilo nasisi tutawakomoeni Sasa mnavotufanyiaga vitimbwi kuwafurahisha wazungu na dunia c tunapenda! ? Huwa mnasahau kama wote n black
 
Mzee sababu yako inakosa mshiko Somalia na Ethiopia vipi?

Unazingua tu.

Toa sababu moja ya kuiandama Tanzania ukiacha Nchi nyingine hizo za Africa
Wale n wahabesha na wasomali not pure black...jiongezee naww
 
Narudia tena, nyeusi mwenzetu kutotupigia kura lazima tupige makelele, na kwa taarifa yako hao Wasomali, Wahabeshi na Waarabu wote lao moja, huzungumza kimoja, hivyo Msukuma kwenda kushobokea waarabu na kuwaacha wenzako wote ndani ya SADC na EAC ni ujuha.

Leo hii Msomali mkiwa naye Uarabuni utabaguliwa aachwe yeye hata kama mtakua nyote wa dini moja.
Yaaan mi nakuelewa Sana ....Niko naww kwa upande mmoja....lakini nyie mnavotuchafuaga kuwafurahisha wazungu huwa hamkumbuki kua we are both black!?
 
Uko sawa lakini kama mnatukera hatutajali Hilo nasisi tutawakomoeni Sasa mnavotufanyiaga vitimbwi kuwafurahisha wazungu na dunia c tunapenda! ? Huwa mnasahau kama wote n black

Haya mambo huwa hatufanyi kisa tunapendana, ila unaangalia maslahi, yule aliye karibu nawe ndiye unapaswa kumuwaza, mipaka ya Kenya na Tanzania hushuhudia mamia ya malori yakipishana kila siku, maelfu ya raia kutoka pande zote mbili wakipishana kwa ajili ya shughuli mbali mbali za kibiashara, sasa utawafuata waarabu kw maslahi gani kule.
 
Back
Top Bottom