Wakenya bwana! Wanachekesha!

Morning_star

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2018
Posts
6,042
Reaction score
17,320
Ndege imetoka China na abiria wote wameshuka na kuingia nchini kila mtu akielekea sehemu iliyomleta ndani ya Kenya.

Halafu baadaye serikali inatangaza kufuatilia kwa karibu abiria wote walioingia Kenya kwa ndege hiyo.

Sasa la kujiuliza ni kama watakuwa na virus vya Corona si watakuwa wameishaambukiza raia?

Kwanini hawakuwatenga (quarantine) kabla ya kuwaruhusu! This is Africa!
 
Wapuuzi sana wakati walishazuiliwa na kujaziwa mafuta ndege ili igeuze wanasiasa wakajifanya wao ni bora zaidi kuliko corona wakatoa oda washuke sasa tusubiri na sisi hapo namanga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lol waliwaambia kila abiria ajiweke kwenye quarantine yake binafsi, wasitoke nje mpaka baada ya kujihisi fresh siku 14[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Yaani Kuna viongozi wengine ni vituko kweli
hata hao wachina lazima wamepigwa na butwaa
Mi mwenyewe nilishangaa yaani ujipige nyundo kumi na nne mwenyewe wakati una mitikasi nyingi za kufanya mjini yaani ni kitu ambacho hakiwezekani.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lol waliwaambia kila abiria ajiweke kwenye quarantine yake binafsi, wasitoke nje mpaka baada ya kujihisi fresh siku 14πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Yaani Kuna viongozi wengine ni vituko kweli
hata hao wachina lazima wamepigwa na butwaa

Afrika ni bara la vituko.
 
Alafu wazungu wakisema Waafrika tuna akili ndogo Tunakasilika, tunakasilika nini Sasa ??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hivi kumbe wakenya ni kama wana ccm tu?
 
Wewe sema Wakenya wanachekesha, hata hujui hao Wachina wapo wapi saa hizi, huenda wapo Arusha au Serengeti wanaangalia wanyama? Tatizo likifika Kenya there's no way Tanzania tunaweza kujidanganya tuko salama, kwa kuwa Kenya ni lango la Afrika mashariki...
 
Jombaa, serikali ya Kenya haikuwa na nia ya kuzuia ndege hiyo kutua wala kuzuia abiria hao kuingia Kenya. Jamaa anayefanya kazi KQ ndiye aliyewaumbua baada ya kupiga picha ya ndege hiyo ya China Southern ikitua JKIA na abiria wakishuka kisha akaipost mitandaoni. Kitendo hicho cha Gire Ali ndio kilisabibisha wakenya waikashifu serikali yao na LSK ikawasilisha kesi mahakamani. Sasa hivi wanachofanya GOK ni kufata maagizo ya mahakama ya kufatilia abiria wote. Baada ya mahakama kuu kupiga marufuku ndege zozote kutua nchini Kenya kutoka China na kupeana agizo hilo kuhusu abiria hao ambao tayari walikuwa wameingia nchini. Ona support ambayo huyo jamaa aliyewaumbua, Gire Ali, anapata kutoka kwa wakenya. Kenyans rally support for suspended KQ employee who leaked Coronavirus plane video
 
Tanzania hata ndio usiseme juu huko hawaelewi kinachoendelea wapo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…