Wakenya chekini ubora wa reli ya Tanzania

Dada faizafoxy.
Nimekuelewa ila slum Kenya siyo kibera tu kunaslum za kikabila na zakidini pia Ila nilutaka kujifunza na Mimi kuusu slum kama wewe ila janerose kakataa kuwa mwenyeji wangu Kenya licha ya kumtangazia dau la Pesa Kwa kunitembeza Kenya na slum mbali mbali nataka kujifunza ,tena hata ukiwauliza habari ya slum awataki kukujibu ila watakuambia wewe ni mmbea sasa tusilaumiwe Kwa kuzieleza slum tujuavyo maana wenyewe wameshinda kutuelimisha,Kunaili swali nitakuuliza wewe au janerose nipatiwe jibu maana nimekua nikiliuliza siku nyingi sipati jibu ! Nairobi kuna slum ngapi ? Nakenya Kwa ujumla zipo ngapi?
 
Umeisoma historia ya Kibera?
Sasa wao mbona awataki kuulizwa chochote kuusu slum ukiuliza tu wanakuita " mmbea" nisaidie jibu naii kuna slum ngapi? Kana unajua ila kama ujui nisaidie kuniulizia hata Kwa janerose ila wakikutukana simo
 
Sasa wao mbona awataki kuulizwa chochote kuusu slum ukiuliza tu wanakuita " mmbea" nisaidie jibu naii kuna slum ngapi? Kana unajua ila kama ujui nisaidie kuniulizia hata Kwa janerose ila wakikutukana simo
Jibu swali wacha porojo...

Umeisoma historia ya Kibera?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…