Kenya kwa skendo duh
Imeonekana wazi kwamba hakuna mkenya mwenye sifa na uwezo wa kuwa CEO wa safari com, hii ndio sababu kubwa ya kumrudisha mzungu baada ya kifo cha Bob Collymore.
Kutokuaminiwa kwa wakenya kunatokana na ufanisi mbaya uliosababisha makampuni Mengi yaliyokuwa chini ya wakenya kuporomoka na mengine kufilisika.
Japo serikali ya Kenya ni mdau katika safari com na KQ, lakini kamwe haiwaamini wakenya kuendesha makampuni hayo, ndio sababu pamoja na kusisitiza ajira kwa wakenya, lakini kamwe imegoma kuwapa wakenya kuyaendesha.
I have two points here
1)I'm so thrilled to know that you religiously follow Kenyan Media to pick news and bring them to JF. I never knew our TV stations have that influence in Tz....It's not a bad thing anyway...I don't know even a single TV station in Tz and I don't aspire to know.
2)The issue here is not about a Kenyan heading Safaricom. In any case we have had Kenyans leading global corporations bigger than Safaricom, Just to name a few:
James Waweru-Vice President Unilever Middle East and Asia
Peter Ndegwa-CEO Diageo PLC Nigeria
Charles Mwangi-Former Senior Director Engineering, Tesla
Dorothy Ghettuba-Netflix Manager, International Originals
The issue is government interference, especially in decision making and Tendering. For a brand like Safaricom, that is the most profitable company in East and Central Africa, such interference which mostly would be political would affect its operations.
Rushwa bado ipo kwenu acha upyoro weweAkili ndogo haiwezi kushindana na akili kubwa, hatua ipi Kenya imepiga?, nchi ambayo haina uwezo wa kuwapatia wananchi wake "basic needs",
1)Food
2)Security
3)Housing
4)Employment
5) Safe drinking water
Bado unasema imepiga hatua kuishinda Tanzania. Huu ujinga wenu ndio unawafanya kila mwaka mnazidi kurudi nyuma.
Ujamaa ndio uliofanya tuondokane na
1)Ukabila
2)Rushwa
3)Unemployment
4)Big gap between rich and poor
5)insecurity
6)Land injustice
7)
Haya mambo ndiyo yanayoitesa Kenya, na kamwe hamtiweza kupambana nayo.
Ninyi ubepari umewasaidi nini iwapo hadi Leo hata kujilisha kama nchi mumeshindwa?
Tatizo ni akili yako sitokulaumu, hivi tukisema Marekani ni tajiri, inamaanisha hakuna masikini?. Kenya elimu yenu ni majanga matupu.Rushwa bado ipo kwenu acha upyoro wewe
Kwani vodafone tz ni ya Mzaramo? Fungua akili kidogo, unaogopa kufikiria kwa nini? Ama unadhani utahisi uchunguππππKampuni ya mzungu hiyo mkenya mpiga deki tu.
raia wa kenya wamechangamka kuliko raia wa Tz na Ug
Huyo ni wa kupuuzwaJaguar will disagree with you-π
Nani kakwambia ujamaa umekufa, ATCL ishafufuka, under Tanzanian, we shall see this time, i know you wish us to fail. Wont happen this time.Nyani haoni kundule .Kama unajiona nyie ndio wenye uwezo kila kitu mbona Kenya imepiga hatua kubwa kulioko Tz karibu kwa kila kitu ? Mbona Air Tanzania ilifanya vibaya sana hadi kufa?Mbona ujamaa wenu ulileta maisha mbaya sana hadi ukafa?
Kama kawaida yenu "denial", hata mkiambiwa watu wenu wanakufa kwa njaa, serikali yenu inapinga, mkiambiwa Kenya mna ukabila pia mnapinga, soma " Title " ya hiyo video.
Jaguar will disagree with you-π