Wakenya hizi ni dalili kwamba mmeuza nchi

wakenya wengi wameathiriwa sana na changaa,mirungi na na bange.Kama kuna mtu anabisha akatazame macho ya rais wao
 
wakenya wengi wameathiriwa sana na changaa,mirungi na na bange.Kama kuna mtu anabisha akatazame macho ya rais wao
Asee hawa jamaa wajiuza bila kujua, mchina nae alivyokuwa mnafiki kawapakia mikopo kirahisi hadi imekuwq mzigo kwa waKenya, saivi wanaanza kuzagaa humo kwao....

Utaskia siku paap kufumba na kufumbua nusu ya Kenya inakaliwa na wachina
 
Uwivuuuu unatusumbua watanzania sana. Sisi tulikuwa na bahati hii ya kuwa karibu na wachina toka 1961 huko ila hakuna cha maana tulichokifanya zaidi ya reli na viawabda vilivyotushinda pia kuviendesha.

Leo ni zamu ya wenzetu ndio tutajua ujinga wetu.
 
Uhusiano wetu na china miaka yote ni sababu ya kutumia mfumo mmoja wa maisha usoshalizim.china ni taifa masikini mpaka mwishoni mwa mwaka miaka ya tisini.
 
Wivu manze unawaumbua sana ndugu zetu wa kusini, mara wazungu mabwana wetu, mara madeni mara wachina ni mabwana wetu ilhali gap inazidi kupanuka.
Gap mtapanua sana, mkija stuka shimo limekuwa inelastic.
 
Ingekua ni watalii wa Kichina wanaongezeka Tz tungeambiwa ni kwasababu ya uhusiano mzuri wa Ku historia Kati ya China na Tz, lakini wakija Kenya kutembea , wakuja tembelea koloni Lao. Jameni punguzeni wivu .. mchina akikuja kutembelea vivutio vya utalii amejileta mwenyewe na kujilipia tiketi na familia yake kutumia mshahara wake , hii NI kutokana na campeni ya KTB ambayo imekita kule Asia na middle East inatumia ma millioni ya pesa Ku campaign watalii wa huko waje huku ili Tu diversify soko letu la utalii manake tukitegemea watalii wa nchi za magharibi pekee tutaumia manake jamaa hua wana issue travel advisory warnings mpya kila mwezi. Hata watalii wa nchi za Uarabuni wameongezeka Sana siku hizi kwahivyo kampeni ya kuvutia watalii kutoka masoko mapya inafanya kazi... Hii ndo maana KTB inashikilia tuzo la "Best Tourism board in Africa" Kwa miaka SITA mfululizo!!!! kulingana na WTA.
 
Wachina mimi najua wanakuja kenya kuwatembelea jamaa zao wanaojenga SgR maana %75 ni wao,hivyo hatushangai na hilo
 
Mtoa UZI hapo mi nakupinga binafsi ongezeko hilo linachangia ukuaji wa utalii nchini kenya na mapato ya fedha za kigeni + ajira ndogo ndogo za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja ..JAPO hawa jamaa ni wakorofi kidogo kufuatia matendo yao korofi
 
Mkuu hao sio watalii chunguza vizuri, hao ni watu wenye malengo na maslahi binafsi na nchi yenu...., ukilinganisha na jinsi mlivyowaingia kichwakichwa kazi mnayoo walahi
Mchina ambaye anaingia Kenya na kibali cha utalii hawezi Fanya biashara yoyote...





Hii hapa taarifa inayoonyesha idadi ya wafanyikazi wa kutoka China hapa EA


_________


Kenya and Tanzania, which have a gross employment of 40,113 and 39,614 Chinese....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…