Wakenya hizi ni dalili kwamba mmeuza nchi

Wakenya hizi ni dalili kwamba mmeuza nchi

Kwahivyo unataka tuchague watalii, yaani wakija wachina kutalii tuwafurushe? Jiongeze boss, acha kutumia kichwa chako kubebea meno tu.
 
Ingekua ni watalii wa Kichina wanaongezeka Tz tungeambiwa ni kwasababu ya uhusiano mzuri wa Ku historia Kati ya China na Tz, lakini wakija Kenya kutembea , wakuja tembelea koloni Lao. Jameni punguzeni wivu .. mchina akikuja kutembelea vivutio vya utalii amejileta mwenyewe na kujilipia tiketi na familia yake kutumia mshahara wake , hii NI kutokana na campeni ya KTB ambayo imekita kule Asia na middle East inatumia ma millioni ya pesa Ku campaign watalii wa huko waje huku ili Tu diversify soko letu la utalii manake tukitegemea watalii wa nchi za magharibi pekee tutaumia manake jamaa hua wana issue travel advisory warnings mpya kila mwezi. Hata watalii wa nchi za Uarabuni wameongezeka Sana siku hizi kwahivyo kampeni ya kuvutia watalii kutoka masoko mapya inafanya kazi... Hii ndo maana KTB inashikilia tuzo la "Best Tourism board in Africa" Kwa miaka SITA mfululizo!!!! kulingana na WTA.
Hawa wanafik wa Tz huwa wanaona kibaya kwa kila milestone Kenya inayotimiza.Sasa vile Nairobi ilivyo na foreigners wengi sana kutoka kila bara duniani watasema ni njama za hizo nchi zaidi ya mia moja kuichukua Kenya kikoloni.Ukipeleka watu hao wote wawekezaji binafsi,foreign students, makampuni za MNC na Umoja wa Mataifa huko Dar hawa wanafik waTzed watabadili lugha tena aka your now sour grapes will be called sweet juicy grapes. Wanafik roho mbaya Tzed kweli.
 
China remains the world's biggest market in outbound tourism with nearly 150 million outbound visits made by Chinese travelers in 2018, up 14.7 percent year-on-year, according to a newly-released report by the China Tourism Academy and Ctrip on Wednesday.
Kenya is simply fighting to get a piece of this lucrative market(Which is the fastest growing tourism market in the world), if tourists coming to kenya to spend their money in kenya and to eat in our restaurants and to experience our country is selling the county, then by all means President Uhuru, do not leave an inch of the country.
 
Moody’s noted that the increase in direct flights to some Chinese cities – as in the case of Kenya – and the relaxation of visa rules in some countries like Morocco would encourage more Chinese visitors to Africa.
Recently China Southern Airlines increased the number of flights between Nairobi and Guangzhou city to three from two previously. Early last year, Kenya Airways signed a code share agreement with Hong Kong Airlines increasing the frequency of flights to daily from once a week between Nairobi and Hong Kong targeting the growing trade with the Chinese city.
“The recent relaxation of visa rules for Chinese tourists and an increase in direct flights between China and Africa will support further increases in tourism. For instance, after Morocco exempted Chinese tourists from visa requirements in June 2016, Chinese arrivals tripled in 2017,” said Moody’s.
On the trade side, according to the report, Kenyan food commodity exports to China stands at 23 per cent of the total of such exports while the exports of agricultural raw materials to the same country stands at 27 per cent of the total of similar exports.
 
It is not just tourists. Chinese big money is making it's way to kenya through investments by their companies inside Kenya.

 
Wachina wameona waende kuishi china maana kila wakiangalia hawaoni watu kwenye nchi hiyo
 
Back
Top Bottom