ama kweli dunia ina mambo na vijimambo vyake!Imekuwa ni kama tabia kwa vijana wezi wa Mombasa hususa ni maeneo ya kisauni kuwanyanyasa kijinsia wanawake baada ya jaribio la kuwaibia kushindikana kutokana na wanawake hao kutembea bila pesa au kutokuwa na vitu vya thamani.
Ama kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya mombasa
View attachment 368266
Wakenya walitakiwa waishi somalia, wana roho mbaya sana...wanyonye ya wapenzi wao bhanaImekuwa ni kama tabia kwa vijana wezi wa Mombasa hususa ni maeneo ya kisauni kuwanyanyasa kijinsia wanawake baada ya jaribio la kuwaibia kushindikana kutokana na wanawake hao kutembea bila pesa au kutokuwa na vitu vya thamani.
Ama kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya mombasa
View attachment 368266
Mombasa raha, Kuna club moja imefunguliwa huko hurusiwi kushika grass ya bia,Kuna mdada yeye ndio kazi yakeMombasa tena
Sasa huyo Dada kazi yake kubwa kuwanywesha tuMombasa raha, Kuna club moja imefunguliwa huko hurusiwi kushika grass ya bia,Kuna mdada yeye ndio kazi yake
Basi ni balaaNdio. Sasa sijui serikali yao imeshindwa kuwadhibiti?
Sio kidogoHii ni fedheha kubwa sana
Ni hiyo tu, hutakiwi kupata shidaSasa huyo Dada kazi yake kubwa kuwanywesha tu