Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,056
Imekuwa ni kama tabia kwa vijana wezi wa Mombasa hususa ni maeneo ya kisauni kuwanyanyasa kijinsia wanawake baada ya jaribio la kuwaibia kushindikana kutokana na wanawake hao kutembea bila pesa au kutokuwa na vitu vya thamani.
Ama kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya mombasa
Ama kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya mombasa