Wakenya kuandamana kupinga ushindi wa Rais William Ruto

Wakenya kuandamana kupinga ushindi wa Rais William Ruto

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Pamoja na rais wa kenya William Ruto kukejeli maandamano ya Azimio na kuwapiga dongo viongozi wa umoja huo kuwa wamepeleka watoto wao kwenye bunge la Afrika Mashariki, bado wananchi wameonyesha umoja na wao na msimamo kuwa wataandamana.

View attachment 2498580

Hapo kabla wananchi walionekana kumuunga mkono Rais wao, lakini baada ya kuonekana ameanza kukusanya mapato na kukopa nje kutokana na uchumi wa dunia kuyumba, sasa wamebadirika na wanasimama na mzee RAO!.

Hata hivyo kupitia account rasmi ya rais William Ruto wananchi hao wamempiga knock out kupitia replies kwenye tweet yake, huku wakimwambia waziwazi kuwa rais amekuwa Zakayo mtoza ushuru.


 
Kwa hiyo wewe unatoa ushauri gani kwa Chadema yenu??
Wanachokifanya wakenya dhidi ya Ruto ni kama wanamkomoa, wananchi hawaelewi kupanda kwa hali ya maisha si kwa sababu ya rais bali ni tatizo la globe!.

Hapo ndipo muzee wa siku RAO anapatumia.
 
Pamoja na rais wa kenya William Ruto kukejeli maandamano ya Azimio na kuwapiga dongo viongozi wa umoja huo kuwa wamepeleka watoto wao kwenye bunge la Afrika Mashariki, bado wananchi wameonyesha umoja na wao na msimamo kuwa wataandamana.

View attachment 2498580

Hapo kabla wananchi walionekana kumuunga mkono Rais wao, lakini baada ya kuonekana ameanza kukusanya mapato na kukopa nje kutokana na uchumi wa dunia kuyumba, sasa wamebadirika na wanasimama na mzee RAO!.

Hata hivyo kupitia account rasmi ya rais William Ruto wananchi hao wamempiga knock out kupitia replies kwenye tweet yake, huku wakimwambia waziwazi kuwa rais amekuwa Zakayo mtoza ushuru.


Mbona katiba mpya isitatue huo mgogoro?, Sasa umuhimu wa katiba mpya ninini?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wanachokifanya wakenya dhidi ya Ruto ni kama wanamkomoa, wananchi hawaelewi kupanda kwa hali ya maisha si kwa sababu ya rais bali ni tatizo la globe!.

Hapo ndipo muzee wa siku RAO anapatumia.
Hapo ndipo utofauti wa mkenya na mtanzania ulipo.
1. Mtanzania ukimpa sababu anakaa kimya bila kuhoji mfano. Tanzania ni mzalishaji mkubwa sana wa chakula in E.Africa,lakini mbona bei inaendelea kupanda? Hilo nalo sabab yake ni hizo shida za dunia?
2. Mkenya atataka kuhoji na ikiwezekana aisumbue serikali itoe majibu ya kueleweka hata kama sababu alizopewa zina mashiko.
 
Pamoja na rais wa kenya William Ruto kukejeli maandamano ya Azimio na kuwapiga dongo viongozi wa umoja huo kuwa wamepeleka watoto wao kwenye bunge la Afrika Mashariki, bado wananchi wameonyesha umoja na wao na msimamo kuwa wataandamana.

View attachment 2498580

Hapo kabla wananchi walionekana kumuunga mkono Rais wao, lakini baada ya kuonekana ameanza kukusanya mapato na kukopa nje kutokana na uchumi wa dunia kuyumba, sasa wamebadirika na wanasimama na mzee RAO!.

Hata hivyo kupitia account rasmi ya rais William Ruto wananchi hao wamempiga knock out kupitia replies kwenye tweet yake, huku wakimwambia waziwazi kuwa rais amekuwa Zakayo mtoza ushuru.



Uhuru kwa kuwa ni swahiba kindakindaki wa Raila angewaeleza ukweli wakenya kama uchaguzi wa mwaka 2012 na wa 2017 yeye Uhuru alimwibia Raila ushindi wa kura za urais au hakumwibia. Maana Railz tangu mwaka 2007 amekuwa akilalamika kuibiwa.
 
Ubaya nikwamba mifumo imetulea vibaya ...wanatukopea wanapotaka kutuzoesha kuaza kujitegemea tunakua mbogo
 
Back
Top Bottom