Wakenya kucheza bila Otieno

Wakenya kucheza bila Otieno

Mkogoti

TAPELI Mkubwa
Joined
May 3, 2020
Posts
2,415
Reaction score
3,924
Mwaka 1987 timu ya Taifa ya Kenya Harambee Stars kulikuwa kuna Mchenzaji anaitwa Otieno Mboo, Walifanikiwa kufika fainali ila huyo Mchenzaji aliumia mechi ya Nusu fainali, Magazeti ya kenya yaliandika vichwa vya habari" WAKENYA KUCHEZA BILA MBOO" Rais akazuia magazeti yote na kusema warekebishe hiyo sentensi... Walibadiisha na kesho yake kuandika "WAKENYA KUCHEZA MBOO NJE siku ya mechi Wanawake walifurika Uwanjani

😂🤣🤦🤪🏃🏃
 
Stress free long live Jf [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom