umeskia mtu yeyote aliyetaja jina la TZ hata mara moja ktk shughuli hizo zote za upigaji kura?. IEBC, NASA,Jubilee, John Kerry, EU and other observers...have you heard?..hamna anayejishigulisha na kanchi kenu kwa hiyo sioni lazma ya wewe kutuambia mambo ambayo hakuna anayefikiri hata dakika moja..kama ni wachawi wapo kule Kitui..mambo sijui ya kutafta mchawi bongo, sijui tz this tz that hakuna mkenya hata mmoja anayefikiri mambo hayo....TZ is very irrelevant in Kenyan elections...as u rightly put it, ours is ours and yours is yours...so we are not interested in anything from TZ at this point...we can manage...besides, tukiiba inakuhusu nini wewe mbongo? wengi wenu mna ugonjwa wa kuamini wakenya kila wanapoamka wana fikira za tz...sorry to burst ur bubble, Kenya doesnt give a shit abt some backward country that we so happen to share a border with...we may share a border but we dont need help or advice in this election or in anything for that matter..we share a border with S. Sudan and UG...have u seen us asking Museveni for anything?....we are managing it well thus far...thank you