Wakenya, michepuko ya mwendokasi ni aibu!

projectman

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2015
Posts
349
Reaction score
486
Majirani zetu Wakenya mna skendo za aibu. Sio mara moja kusikia mnafumaniwa ugoni na mbwa, kuku, ng'ombe na wanyama wengine. Sasa ndugu zangu Wakenya mnakuwa mnawashwa na nini mpaka mnakimbilia kulala na wanyama?

Haya matukio ni ya kweli wala sio kusingiziwa,kiukweli mnavyojipaisha na kuzarau WaTz kwakweli naona hamjichunguzi. Mnapenda michepuko zaidi hasa kuchepuka na wanyama.

Acheni tabia hiyo kwani mnatudhalilisha majirani!!

 
subiri waje...ila usihukumu kabla hujawahi kufanya....!!
 
Sasani kuwa lugha ya kuongea na wanawake inawashinda au nini?
 
Yawezekana wanawake wa kenya hawawafikishi kileleni[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
na mimi nina kero moja kwenu majirani.kwanini hamnaga shukrani hamjui kujishusha na kusema asante pale mnapofanyiwa jambo jema?
pia kwanini mnajiona mnajua kila kitu ? kujua kiingereza sio kujua maisha kuweni wastaarabu mnakera
halafu kwanini mkiwa huku bongo mnachukua michepuko ya ajabu wakati kuna vitu vimejazia humu? au mshazoea ugali mlenda mkiona kuku mnawaachia wenyewe? si muoinje tu..yaani wakenya wanatembeaga na wadada wabayaa sijui kwanini,mzaoea ya huko kwao au
asanteni ...
 
Sasani kuwa lugha ya kuongea na wanawake inawashinda au nini?
Yawezekana wanawake wa kenya hawawafikishi kileleni[emoji1] [emoji1] [emoji1]
huo ni ugonjwa wa kisaikolojia unaitwa bestiality. kuna wengine wanapenda kufanya ngono na watoto(pedophilia), wengine na maiti(necrophilia), mapenzi ya jinsia moja(homosexuality) wengine wana ndoa na wanapiga sana punyeto(mastubertion). tiba yake kuu ni kuwaona 'psychotherapists' na kusali sana. ni magonjwa magumu sana kuondokana nayo
 
Asante mkuu.
 
wakenya wanawake wengi wana sura za kiume...

ndio maana wanaona bora wageukie kwa wanyama tu
 
wakenya wanawake wengi wana sura za kiume...

ndio maana wanaona bora wageukie kwa wanyama tu
kuna mkenya nilikuwa namuonaga mjanja yaani juzi alikuja na mdada wa ajabu hawajazoea mambo mazuri
 

Ungekuwa mtu wa busara ungejua kuwa uzuri wa mwanamke si urembo, bali ni tabia. Kwani unataka wale wenye sura "mbaya" waolewe na nani?

Hiyo ndio inaitwa being shallow.

Kuhusu kujua kila kitu, ni nani amesema hatujui kila kitu? twajua! Anyway, si hivo. Ni kila jamii iko na kanuni zake za debating na argument. Hii pia imechangiwa na lugha. Kiswahili ni lugha ya upole ukilinganisha na lugha nyingi ambazo zinaongelewa huku Kenya.
 
Hakuna mdada mbaya.
Asubuhi njema.
 
hahaa umetishaa
 

Afu ondoa homosexuality kwenye listi yako hiyo uchwara.....wanasayansi wenyewe washaliondowa iweje weye uliye hitimu darasa la saba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…