Wakenya Mjiandae kufunga mkanda! Rutto sawa na Magufuli

Wakenya Mjiandae kufunga mkanda! Rutto sawa na Magufuli

Mpinzire

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
7,503
Reaction score
13,463
Nawaambia Wananchi wa Kenya, mjindae, mfunge mikanda!

Kwa dalili na maneno ninayosakia Mh William Rutto ni wazi kabisa anakuja kufanya kazi, kwanza hataki kabisa siasa za kinafiki, Rutto anakuja na itikadi kama za Magufuli! Kama ni Kinyesi cha Ng'ombe atakuambia hiko ni kinyesi usile na katu hawezi kubadilika kuwa uo ni mkate we kula tu hauna shida.

Wakenya Mjindae maana watu wa namna hii ni wazuri sana ila kuna jamii fulani za watu huwa hawawapendi maana huwa wanabaniwa mambo yao ni hivo uandaa kila aina mikakati eidha kumkwamisha au kumuondoa kabisa.

Mwisho kabisa atataka watu wa hali chini wawe na haki sawa matajiri hapa sasa ndo patawakwaza wale ambao wenye sauti, malalamiko yatazidi sana ila mlindeni Rais wenu anaepashwa kesho ama sivyo mtamkosa kama tulivyomkosa Magufuli Tanzania.
 
 
ukimuangalia ruto sura yake akiwa anazungumza utagundua ni sawa na yale maneno ya Rais wa tanzania (nyerere) kwamba; ukimtizama ruto akikemea jambo utagundua yupo serious na anamaanisha KUKEMEA JAMBO. Ana muonekano sawa na ule wa Late Magufuri wa Tanzania. Hawa watu wanakuwaga ni wazuri sana katika mambo mengi ya kiinchi. Wakenya wamlinde sana Rais huyo pengine atawasaidia kwa muda mrefu atakao kuwanao. KWETU TANZANIA TUNAJULIKANA KAMA TUMEFIWA TUPO NA MAJONZI HADI 2025...TUNAYOYAPITIA KWASASA NI MUNGU AJUAYE TU!😡
 
Nawaambia Wananchi wa Kenya, mjindae, mfunge mikanda!

Kwa dalili na maneno ninayosakia Mh William Rutto ni wazi kabisa anakuja kufanya kazi, kwanza hataki kabisa siasa za kinafiki, Rutto anakuja na itikadi kama za Magufuli! Kama ni Kinyesi cha Ng'ombe atakuambia hiko ni kinyesi usile na katu hawezi kubadilika kuwa uo ni mkate we kula tu hauna shida.

Wakenya Mjindae maana watu wa namna hii ni wazuri sana ila kuna jamii fulani za watu huwa hawawapendi maana huwa wanabaniwa mambo yao ni hivo uandaa kila aina mikakati eidha kumkwamisha au kumuondoa kabisa.

Mwisho kabisa atataka watu wa hali chini wawe na haki sawa matajiri hapa sasa ndo patawakwaza wale ambao wenye sauti, malalamiko yatazidi sana ila mlindeni Rais wenu anaepashwa kesho ama sivyo mtamkosa kama tulivyomkosa Magufuli Tanzania.
Yule alikuwa balaa kwa nchi yetu, imagine Mungu asingeingilia kati [emoji848][emoji848]
 
Nawaambia Wananchi wa Kenya, mjindae, mfunge mikanda!

Kwa dalili na maneno ninayosakia Mh William Rutto ni wazi kabisa anakuja kufanya kazi, kwanza hataki kabisa siasa za kinafiki, Rutto anakuja na itikadi kama za Magufuli! Kama ni Kinyesi cha Ng'ombe atakuambia hiko ni kinyesi usile na katu hawezi kubadilika kuwa uo ni mkate we kula tu hauna shida.

Wakenya Mjindae maana watu wa namna hii ni wazuri sana ila kuna jamii fulani za watu huwa hawawapendi maana huwa wanabaniwa mambo yao ni hivo uandaa kila aina mikakati eidha kumkwamisha au kumuondoa kabisa.

Mwisho kabisa atataka watu wa hali chini wawe na haki sawa matajiri hapa sasa ndo patawakwaza wale ambao wenye sauti, malalamiko yatazidi sana ila mlindeni Rais wenu anaepashwa kesho ama sivyo mtamkosa kama tulivyomkosa Magufuli Tanzania.
Kenya sio Tanzania, akileta za kuletwa atakumbana na migomo na zomea zomea subiri utaona
 
Sidhani kama Wakenya wana wanyonge wafananao na wanyonge wa huku.
Kenya ndiyo iliyo na wanyonge kweli kweli kuliko Tanzania! Tanzania kila mtu ana ardhi ya kutosha kwa hiyo kimsingi Tanzania hakuna maskini wa ukweli!! Umaskini wa watanzania uko kwenye akili zaidi kuliko uhalisia!! Maskini wa Kenya hana ajira, hana ardhi hana kila kitu na anaishi kwa huruma za wenye nacho. Ndiyo maana wakenya wanathamini sana ajira!! Mkenya akifukuzwa kazi ni sawa na msiba!! Mtanzania akifukuzwa kazi anaweza kurudi kijijini kwenye ardhi yake ya kutosha na maisha yanaendelea mbele!!
 
Kama Ruto ataendelea kumtegemea Mungu kama alivyomtegemea kwenye uchaguzi, basi atafanikiwa sana katika utawala wake. Lakini akijifanya kuwa keshafika juu na kumsahau Mungu atashangaa yatakayomkuta!! Ana maadui wengi sana lakini Mungu amemkinga nao wote na maadui wa Ruto hawaamini kuwa wameshindwa kumsambaratisha!! They are definitely planning for the next move!! Only God can save him!
 
Kenya ndiyo iliyo na wanyonge kweli kweli kuliko Tanzania! Tanzania kila mtu ana ardhi ya kutosha kwa hiyo kimsingi Tanzania hakuna maskini wa ukweli!! Umaskini wa watanzania uko kwenye akili zaidi kuliko uhalisia!! Maskini wa Kenya hana ajira, hana ardhi hana kila kitu na anaishi kwa huruma za wenye nacho. Ndiyo maana wakenya wanathamini sana ajira!! Mkenya akifukuzwa kazi ni sawa na msiba!! Mtanzania akifukuzwa kazi anaweza kurudi kijijini kwenye ardhi yake ya kutosha na maisha yanaendelea mbele!!
Hakuna unyonge unaozidi unyonge wa akili.
 
Magufuli alikuwa Rais mbaya sana kwa mafisadi na kwa maofisa wa serikali waliokuwa wanajifanya miungu watu! Mpaka leo japo amefariki lakini familia za mafisadi bado wana maumivu sana! Ukiona mtu anamsema vibaya Magufuli ujue huyo ni mmoja katika familia za mafisadi!

Magufuli alikuwa Rais Mzuri sana kwa watu waadilifu na wacha Mungu!
 
Hakuna unyonge unaozidi unyonge wa akili.
Unyonge wa akili unaondolewa na elimu. Tanzania elimu ni bure toka shule ya msingi hadi sekondari kidato ncha sita. Halafu chuo kikuu wanafunzi hupewa mikopo isiyokuwa na riba!. Unyonge wa wakenya hauna tiba!! Kama baba yako hakuwa na ardhi na wewe mtoto hautakuwa na ardhi na watoto wako na wajukuu wako hawatakuwa na ardhi!! Mtu akikuajiri anakuwa kama mungu nkwako!! Kwa Tanzania hakuna kitu kama hicho. Tanzania kuna maskini jeuri yaani huwezi kumnyanyasa eti kwa kuwa umemwajiri, maana hata ukimfukuza kazi maisha yake yanaendelea!! Kenya hakuna maskini jeuri!! Kwa kenya boss ni boss kweli!! Tanzania hakuna hicho kitu!!
 
Unyonge wa akili unaondolewa na elimu. Tanzania elimu ni bure toka shule ya msingi hadi sekondari kidato ncha sita. Halafu chuo kikuu wanafunzi hupewa mikopo isiyokuwa na riba!. Unyonge wa wakenya hauna tiba!! Kama baba yako hakuwa na ardhi na wewe mtoto hautakuwa na ardhi na watoto wako na wajukuu wako hawatakuwa na ardhi!! Mtu akikuajiri anakuwa kama mungu nkwako!! Kwa Tanzania hakuna kitu kama hicho. Tanzania kuna maskini jeuri yaani huwezi kumnyanyasa eti kwa kuwa umemwajiri, maana hata ukimfukuza kazi maisha yake yanaendelea!! Kenya hakuna maskini jeuri!! Kwa kenya boss ni boss kweli!! Tanzania hakuna hicho kitu!!
Basi tutembee kifua mbele
 
Back
Top Bottom