Wakenya mmejiandaaje kisaikolojia mwaka 2022,hapa siongelei uchaguzi

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Tafiti nyingi zinakadiria kwa kasi ya sasa ya ukuaji wa uchumi kwa nchi za Kenya na Tanzania zinaoneosha kama kila kitu kikiendelea kama kilivyo,basi mwaka 2022 Kenya itaipokeza Tanzania kijiti kwa kuwa nchi yenye uchumi mkubwa A.Mashariki,huku tafiti nyingine zikidai uenda hali hiyo ikatokea mapema zaidi.
Wakenya wa JF je mko tayari kisaikolojia kuipokea hali hii?
 
Can anyone bring a reasonable thread? kwani leo watz vipi? nimeona vile mmeleta mambo ya architecture ya bunge, mara mambo ya My Lord mkazabwa makofi mazito na wakenya... hoja zimkwisha ama? yaani nyuzi zinakuwa 'case closed' ktk ukurasa wa kwanza....😀😀
 
Bitter truth.
 
Good news for me, Nilikua siwapendi hawajamaa ila kwa sasa nmewakubali sana hasa kwenye sector ya kilimo wapo advanced sana na ukimpa kazi anafanya kama mlivyokubaliana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni bora mkaichukulia hii kwa jicho pana, sio la kubeza hata kidogo! BBC, DW, na media nyingine kubwa za nje wameandika khs hili!

Hata SA walibweteka wakajikuta wamepitwa na wanigeria!
 

Kwani Wakenya tutakua tumelala miaka hiyo yote!?
 
Kale kandege kenu kaliachiwa? Mlijiingiza kwenye biashara ya ndege kisa eti mtajwe pale mibabe kama Kenya wanatajwa, mkasahau mtachana msamba.
Sasa mumeishia kupimana mikojo. Nawaambia siku zote nyie ni wale wale tuliowazoea na nafuu yenu ingekua kama tungepigana, sasa tunavuka uchaguzi kwa amani, ndio kwaheri kabisa.......pokeeni vumbi.

Hii video hapa itawafundisha kitu waliokua wanasubiri machafuko Kenya
 
Anza hii hoja wakati Tz itakapo ongoza Kenya kwa per capita GDP na per capita income.Hata Nigeria wana GDP kubwa lakini wengi wanaishi vibaya zaidi kiafya ,kwa elimu na life expectancy.
 
Zito kabwe aliandika makala yake ilikua ni hadi 2030 kama kila kitu kitabaki kwa hali ya leo ...kuna mambo mengi hapa katikat so Bidii inahitajika zaidi....Muhimu pambana na maisha yako zaidi usije ukawa wa mwisho kwenye msafara sa mafanikio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…