Wakenya mmetuangusha wana Afrika Mashariki

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wasukuma katika ubora wao...wajisifia kiswahili wakati si lugha yako...hyo lugha km si waarabu na watu wa pwani haingepatikana ..so wewe jisifie kisukuma tu
Kwani wanajua hata kiingereza hao? Kiingereza Wanachojua ni cha kuandika tu, lakini kuongea na kusoma hawajui kabisa
 


Hao ni waingereza weusi sio Waswahili. They are black skin- Englishmen of Kenya. 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…