Wakenya mmetuangusha wana Afrika Mashariki

Wakenya mmetuangusha wana Afrika Mashariki

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wasukuma katika ubora wao...wajisifia kiswahili wakati si lugha yako...hyo lugha km si waarabu na watu wa pwani haingepatikana ..so wewe jisifie kisukuma tu
Kwani wanajua hata kiingereza hao? Kiingereza Wanachojua ni cha kuandika tu, lakini kuongea na kusoma hawajui kabisa
 
Hivi ninyi wakenya, wasomali, na wahindi Kiswahili chenu huwa mnajifunzia wapi? Ninyi asili yenu ni wapi? mmekaa nasi Afrika mashariki miaka kibao lakini kiswahili hambadiliki kabisa

1. Eti .....nmasema Ati

2. Kumpa mtu kitu.....mnasema amepeana yeye

3.?

4.?


Hao ni waingereza weusi sio Waswahili. They are black skin- Englishmen of Kenya. 🤣
 
Back
Top Bottom