Well kwa huku kwetu kila moja anajivutia kamba kwake, nimeona tupate viewpoint kutoka kwa 254.
Muungano haukuwa Takwa la nyerere bali takwa la nchi za kibepari kama uingereza wakihofia nchi za ujamaa zisije zikaichukua Zanzibar na kuwa koloni la ki -socialist!!!!Nyerere kama kijana aliekuwa loyal kw waingreza alitumwa kuichukua Zanzibar iwe chini ya himaya ya kibepari!!Hata Neno Tanzania Lilitengenezwa na wao mabepari
As a result kukawa na serikali 2...Tanzania (Tanganuika + Zanzibar) na Zanzibar..to make it short Tanganyika dissapeared.
The benefits that Zanzibar enjoys ni kama:
Kuweka President au vice president kila term.
Kupata ajira 21% kwenye serikali ya Tz but kwenye ajira za serikali ya Zanziba, Tanzanians from mainland hawapo qualified.
kupewa powerful positions kama governors (tz wanaitwa rc), rpc, millitary colonels, wwakurugenzi, mabalozi, n.k
Kuwa na serikali yao semi autonomous state ambayo ina katiba, rais, vice pesident, ministries, institutions, n.k kwajili yao.
kuweza kumiliki ardhi Tanzania lakini watanzania from mainland hawarusiwi knunua ardhi Zanzibar
Muungano haukuwa Takwa la nyerere bali takwa la nchi za kibepari kama uingereza wakihofia nchi za ujamaa zisije zikaichukua Zanzibar na kuwa koloni la ki -socialist!!!!Nyerere kama kijana aliekuwa loyal kw waingreza alitumwa kuichukua Zanzibar iwe chini ya himaya ya kibepari!!Hata Neno Tanzania Lilitengenezwa na wao mabepari
As a result kukawa na serikali 2...Tanzania (Tanganuika + Zanzibar) na Zanzibar..to make it short Tanganyika dissapeared.
The benefits that Zanzibar enjoys ni kama:
Kuweka President au vice president kila term.
Kupata ajira 21% kwenye serikali ya Tz but kwenye ajira za serikali ya Zanziba, Tanzanians from mainland hawapo qualified.
kupewa powerful positions kama governors (tz wanaitwa rc), rpc, millitary colonels, wwakurugenzi, mabalozi, n.k
Kuwa na serikali yao semi autonomous state ambayo ina katiba, rais, vice pesident, ministries, institutions, n.k kwajili yao.
kuweza kumiliki ardhi Tanzania lakini watanzania from mainland hawarusiwi knunua ardhi Zanzibar