Wakenya, mnaona vipi Muungano wa Tanzania, are Tanganyikans duped?

Wakenya, mnaona vipi Muungano wa Tanzania, are Tanganyikans duped?

Zabby99

Member
Joined
Oct 26, 2021
Posts
5
Reaction score
16
Well kwa huku kwetu kila moja anajivutia kamba kwake, nimeona tupate viewpoint kutoka kwa 254.

Muungano haukuwa Takwa la nyerere bali takwa la nchi za kibepari kama uingereza wakihofia nchi za ujamaa zisije zikaichukua Zanzibar na kuwa koloni la ki -socialist!!!!Nyerere kama kijana aliekuwa loyal kw waingreza alitumwa kuichukua Zanzibar iwe chini ya himaya ya kibepari!!Hata Neno Tanzania Lilitengenezwa na wao mabepari

As a result kukawa na serikali 2...Tanzania (Tanganuika + Zanzibar) na Zanzibar..to make it short Tanganyika dissapeared.

The benefits that Zanzibar enjoys ni kama:

Kuweka President au vice president kila term.

Kupata ajira 21% kwenye serikali ya Tz but kwenye ajira za serikali ya Zanziba, Tanzanians from mainland hawapo qualified.

kupewa powerful positions kama governors (tz wanaitwa rc), rpc, millitary colonels, wwakurugenzi, mabalozi, n.k

Kuwa na serikali yao semi autonomous state ambayo ina katiba, rais, vice pesident, ministries, institutions, n.k kwajili yao.

kuweza kumiliki ardhi Tanzania lakini watanzania from mainland hawarusiwi knunua ardhi Zanzibar
 
Sasa kama zanzibar kinachukua eneo la shamba la mtu wa bara, kwann tusikatawale, tukatawala bahari nzima, tukawaachia hilo jina na vi offer vya ardhi yenu isiyowatoshea, na viajira kadhaa kwenye halmashauri chache za bongo vya kuwadanganyia toto mko huru, uchaguzi ukifika tunatuma wajeda alafu tunawachagulia kiongozi wenu, na mlivyo waoga with record breaking shortest war in the world, hamna kitu mtafanya, hao kina mwinyi ni watu original yao tabora hapo.

Sasa mpaka unakuja kuweka hii mada huku, must be either a stupid pemba guy au a jealousy Kenyan anaechokoza mada baada ya kuporwa eneo na somalia.
 
Tanganyika inaivuta Zanzibar nyuma kimaendeleo, kiuchumi na kila kitu. Mama Samia akitoka urais 2035 ahakikishe katiba mpya imetenganisha Zanzibar kutoka kwa Tanganyika.
 
Huo muungano wenu huwa mfupa uliomshinda fisi, yaani Watanganyika ndio hulalamika kwa madai kwamba muungano huwanyanyasa kwa kupendendelea Zanzibar, ila hao hao Watanganyika ndio hung'ang'ania kutunza na kulinda hako kamuungano kwa mbinu zote.

Upo kwenye ndoa unalalamika kila siku jinsi unavyonyanyaswa, ila mwenzako akishauri muachike basi, unakua mkali kwa mapovu yote nje nje. Wazee wetu Kenya waliona mbali sana kwa kutoruhusu EAC tuwe nchi moja, maana ingekua kero kila uchao, ikiwa hapo kamuungano kadogo tu mnapigishana makelele mpaka basi.
 
Huo muungano wenu huwa mfupa uliomshinda fisi, yaani Watanganyika ndio hulalamika kwa madai kwamba muungano huwanyanyasa kwa kupendendelea Zanzibar, ila hao hao Watanganyika ndio hung'ang'ania kutunza na kulinda hako kamuungano kwa mbinu zote.

Upo kwenye ndoa unalalamika kila siku jinsi unavyonyanyaswa, ila mwenzako akishauri muachike basi, unakua mkali kwa mapovu yote nje nje. Wazee wetu Kenya waliona mbali sana kwa kutoruhusu EAC tuwe nchi moja, maana ingekua kero kila uchao, ikiwa hapo kamuungano kadogo tu mnapigishana makelele mpaka basi.
Mzungu alifaulu kutenganisha waafrika, yaani we can't come together! Am seriously wondering.,
 
Sasa kama zanzibar kinachukua eneo la shamba la mtu wa bara, kwann tusikatawale, tukatawala bahari nzima, tukawaachia hilo jina na vi offer vya ardhi yenu isiyowatoshea, na viajira kadhaa kwenye halmashauri chache za bongo vya kuwadanganyia toto mko huru, uchaguzi ukifika tunatuma wajeda alafu tunawachagulia kiongozi wenu, na mlivyo waoga with record breaking shortest war in the world, hamna kitu mtafanya, hao kina mwinyi ni watu original yao tabora hapo.
Sasa mpaka unakuja kuweka hii mada huku, must be either a stupid pemba guy au a jealousy Kenyan anaechokoza mada baada ya kuporwa eneo na somalia.
Hehehe, so Pemba people are stupid? MK254 come confirm this. Is there beef between Pemba and Zanzibar?
 
Huo muungano wenu huwa mfupa uliomshinda fisi, yaani Watanganyika ndio hulalamika kwa madai kwamba muungano huwanyanyasa kwa kupendendelea Zanzibar, ila hao hao Watanganyika ndio hung'ang'ania kutunza na kulinda hako kamuungano kwa mbinu zote.

Upo kwenye ndoa unalalamika kila siku jinsi unavyonyanyaswa, ila mwenzako akishauri muachike basi, unakua mkali kwa mapovu yote nje nje. Wazee wetu Kenya waliona mbali sana kwa kutoruhusu EAC tuwe nchi moja, maana ingekua kero kila uchao, ikiwa hapo kamuungano kadogo tu mnapigishana makelele mpaka basi.
Sasa nani anataka muungano na kunya land yenu ilhali nyinyi wenyewe vikabila vyenu havijaungana.
 
Nimepata fursa ya kufika Pemba maeneo ya mkoani wete wesha, pia nikafika z'bar na kuizunguka....pwani ya Tanzania bara yote nimefika na kujichanganya na wenyeji kwenye swala hilo na maoni yangu ni haya. Wote mnahitajiana ila misingi ya muungano iliwekwa kwa kutokuaminiana. Wa visiwani waliotaka muungano waliangalia maslahi yao binafsi na sio ya raia wote walio visiwani na ndio chanzo kubwa cha malumbano. Pande zote zinafaidi katika muungano na mgawanyiko utakuwa na athari kubwa kiuchumi kwa pande zote mbili. Cha msingi ni msingi ni pande mbili kinzani visiwani kwanza kukubaliana na kuwa na kauli moja kwa manufaa ya raia wote wa visiwani kisha kuyaleta mapendekazo kwenye meza yajadiliwe kwa madhumuni ya kuuboresha muungano. Penye Nia hapakosi njia
 
Hehehe, so Pemba people are stupid? MK254 come confirm this. Is there beef between Pemba and Zanzibar?

Pemba and Unguja people usually have an own sibling rivarly, which is normal for any people living in a country, however, all of them normally have a common agreement that their union with Tanganyika was fraudulent and not serving their interest, and they have enacted laws banning Tanganyikans from owning land in that island.

In short, to them, there is no difference between a Tanganyikan and Kenyan, they are all regarded the same as any other visitor. They have their own national IDs, which for a Tanganyikan to obtain must go through crazy processes and most of them are denied.

Hebu read through this thread here



3017481_E33C314B-D18B-4DEF-AE7A-3AA9520263FB.jpeg
 
Sasa nani anataka muungano na kunya land yenu ilhali nyinyi wenyewe vikabila vyenu havijaungana.

Mngetuambikza huo uzembe wenu na kutuburuza nyuma, bora mababu zetu waliwakatalia mbali mbaki huko.
 
Mzungu alifaulu kutenganisha waafrika, yaani we can't come together! Am seriously wondering.,

Hiyo meli ilishang'oa nanga, ndoto za Afrika kuwa taifa moja haipo tena na haiwezekani, mzungu alifaulu pakubwa, kwanza kawagawa hata ndugu, leo hii unaskia kuna Mmaasai wa Tanzania na Mmaasai wa Kennya, wote hao utakuta wapo kwenye ukoo mmoja, wengine hata wanachangia babu mmoja.
 
Mngetuambikza huo uzembe wenu na kutuburuza nyuma, bora mababu zetu waliwakatalia mbali mbaki huko.
Kwendraa, mnajiburuza wenyewe na u primitive wenu wa kikabila na ujambazi, bora kenyata alivyokataa, akajimegea vya kwake na wazungu wake.
Sababu asingefanya huo ujinga under nyerere's eyes, na alijua fika asingeweza, akaona bora abaki na ndondocha zake zinazopenda English
 
Pemba and Unguja people usually have an own sibling rivarly, which is normal for any people living in a country, however, all of them normally have a common agreement that their union with Tanganyika was fraudulent and not serving their interest, and they have enacted laws banning Tanganyikans from owning land in that island.

In short, to them, there is no difference between a Tanganyikan and Kenyan, they are all regarded the same as any other visitor. They have their own national IDs, which for a Tanganyikan to obtain must go through crazy processes and most of them are denied.

Hebu read through this thread here



3017481_E33C314B-D18B-4DEF-AE7A-3AA9520263FB.jpeg
Eti all of them have a common agreement abt the union, ww mbwiga hamna kitu unajua zaidi ya kunya ujinga tu humu, wangekuwa na common agreement wangechagua chama kimoja.
The land you're talking about is non existent, de place is so tiny, na ayo ni maneno ya wanasiasa tu, watu hawamiliki ardhi ila wananunua nyumba. What is that, since you're a fool and a hater like the og poster, tunakuwacheni na ujinga wenu, the truth is the union itabaki hadi mwisho wa dahari, pambaneni na wasomali wenu.
 
Eti all of them have a common agreement abt the union, ww mbwiga hamna kitu unajua zaidi ya kunya ujinga tu humu, wangekuwa na common agreement wangechagua chama kimoja.
The land you're talking about is non existent, de place is so tiny, na ayo ni maneno ya wanasiasa tu, watu hawamiliki ardhi ila wananunua nyumba. What is that, since you're a fool and a hater like the og poster, tunakuwacheni na ujinga wenu, the truth is the union itabaki hadi mwisho wa dahari, pambaneni na wasomali wenu.

Hadi umeniquote mara mbili, maumivu hayo, ila pole ndivyo ilivyo, samahani......
Kwa sasa mnawachelewesha sana Wazenji na kung'ang'ania muungano nao, wengi kule hawautaki kabisa.
 
Hadi umeniquote mara mbili, maumivu hayo, ila pole ndivyo ilivyo, samahani......
Maumivu ya nn sasa, yani mm niumizwe na kitu mtubaki kama ww umeandika, zero brain hunaga hoja wewe. Samahani jipee mwenyewe na wenzako wanaopigika kibera huko na kwingineko.
 
Maumivu ya nn sasa, yani mm niumizwe na kitu mtubaki kama ww umeandika, zero brain hunaga hoja wewe. Samahani jipee mwenyewe na wenzako wanaopigika kibera huko na kwingineko.

Hehehe!!! Na utateseka sana tu hivyo, kwanza lile jibu lako kwa mleta mada pale juu linaonyesha mateso unayopitia, hehehe pole sana.
 
Well kwa huku kwetu kila moja anajivutia kamba kwake, nimeona tupate viewpoint kutoka kwa 254.

Muungano haukuwa Takwa la nyerere bali takwa la nchi za kibepari kama uingereza wakihofia nchi za ujamaa zisije zikaichukua Zanzibar na kuwa koloni la ki -socialist!!!!Nyerere kama kijana aliekuwa loyal kw waingreza alitumwa kuichukua Zanzibar iwe chini ya himaya ya kibepari!!Hata Neno Tanzania Lilitengenezwa na wao mabepari

As a result kukawa na serikali 2...Tanzania (Tanganuika + Zanzibar) na Zanzibar..to make it short Tanganyika dissapeared.

The benefits that Zanzibar enjoys ni kama:

Kuweka President au vice president kila term.

Kupata ajira 21% kwenye serikali ya Tz but kwenye ajira za serikali ya Zanziba, Tanzanians from mainland hawapo qualified.

kupewa powerful positions kama governors (tz wanaitwa rc), rpc, millitary colonels, wwakurugenzi, mabalozi, n.k

Kuwa na serikali yao semi autonomous state ambayo ina katiba, rais, vice pesident, ministries, institutions, n.k kwajili yao.

kuweza kumiliki ardhi Tanzania lakini watanzania from mainland hawarusiwi knunua ardhi Zanzibar
Sisi Wakenya kama wana East Africa tunaonelea Muungano wa EAC tutengeneze Inchi moja Kubwa ndio tuweze kushindana na dunia bila kukaliwa na inchi zingine kubwa kubwa. Mambo ya Zanzibar na hao Waarabu nusu Sahau, Zanzibar ni mali ya Africa. Umoja ni nguvu.
GridArt_20211209_115719876.jpg
 

Kafara la kukimbiza moto linavyoligharimu Taifa
 
Back
Top Bottom