Pemba and Unguja people usually have an own sibling rivarly, which is normal for any people living in a country, however, all of them normally have a common agreement that their union with Tanganyika was fraudulent and not serving their interest, and they have enacted laws banning Tanganyikans from owning land in that island.
In short, to them, there is no difference between a Tanganyikan and Kenyan, they are all regarded the same as any other visitor. They have their own national IDs, which for a Tanganyikan to obtain must go through crazy processes and most of them are denied.
"Mgeni sio kwamba ananunua ardhi, na sio kwamba anapewa umiliki wa 100% hapana anapewa kibali cha kuwekeza kwa miaka kadhaa. Kwa mtu anayetoka Tanzania Bara ambaye anataka kufanya Uwekezaji Zanzibar anatumia utaratibu huo huo" Rais wa Zanzibar, Dkt Hussein Ally Mwinyi. ==== Rais Mwinyi...
Umegonga penyewe, I couldn't have said it better myself
Jamaa wana kila uwezo wa kuwa bora kiuchumi kuzidi mataifa yote Afrika, ila sijui huwa wana gubu au laana gani hawa au uzembe tu hadi Kenya inawazidi karibia mara mbili kiuchumi.
Umegonga penyewe, I couldn't have said it better myself
Jamaa wana kila uwezo wa kuwa bora kiuchumi kuzidi mataifa yote Afrika, ila sijui huwa wana gubu au laana gani hawa au uzembe tu hadi Kenya inawazidi karibia mara mbili kiuchumi.
that country will remain average at best until the day they kick CCM out of office.
to progress you need change...change is inherently a risk and destabalising which means CCM will never attempt to make any serious changes which means Tanzania will never make any meaningful progress.
The day they remove CCM from power, Tanzania will takeover this region but until then.... Bongolalas is the modus operandi
Umegonga penyewe, I couldn't have said it better myself
Jamaa wana kila uwezo wa kuwa bora kiuchumi kuzidi mataifa yote Afrika, ila sijui huwa wana gubu au laana gani hawa au uzembe tu hadi Kenya inawazidi karibia mara mbili kiuchumi.
Oh, sasa hivi ni mmetuzidi kiuchumi, sio kila kitu eh.
Ni nani hao hawana uwezo wa kuwa bora kiuchumi. Kuna wenye guru na laana kama tribalist in this era and age?
that country will remain average at best until the day they kick CCM out of office.
to progress you need change...change is inherently a risk and destabalising which means CCM will never attempt to make any serious changes which means Tanzania will never make any meaningful progress.
The day they remove CCM from power, Tanzania will takeover this region but until then.... Bongolalas is the modus operandi
True.... ukisoma hoja za huu uzi hapa chini utaona kuanzia tulipobadilisha uongozi, tulianza kuwaacha Watanzania kiuchumi kwa pengo ambalo limekua likiongezeka kila mwaka mpaka leo hii tupo karibia mara mbili yao.
Wasalauumu wakuu!! Uzi huu nilianza kuuandaa wakati Mama Samia anaenda Kenya, lakini sikuweza kuumaliza kwa wakati, nimeamua niuweke kwa sasa, japo muktadha wa sasa haupo kuijadili Kenya, ila itabidi niuweke kwasababu kuna mambo ambayo yapo relevant sana. Imekuwa ni kawaida sana hapa jamvini...
True.... ukisoma hoja za huu uzi hapa chini utaona kuanzia tulipobadilisha uongozi, tulianza kuwaacha Watanzania kiuchumi kwa pengo ambalo limekua likiongezeka kila mwaka mpaka leo hii tupo karibia mara mbili yao.
Wasalauumu wakuu!! Uzi huu nilianza kuuandaa wakati Mama Samia anaenda Kenya, lakini sikuweza kuumaliza kwa wakati, nimeamua niuweke kwa sasa, japo muktadha wa sasa haupo kuijadili Kenya, ila itabidi niuweke kwasababu kuna mambo ambayo yapo relevant sana. Imekuwa ni kawaida sana hapa jamvini...
Well kwa huku kwetu kila moja anajivutia kamba kwake, nimeona tupate viewpoint kutoka kwa 254.
Muungano haukuwa Takwa la nyerere bali takwa la nchi za kibepari kama uingereza wakihofia nchi za ujamaa zisije zikaichukua Zanzibar na kuwa koloni la ki -socialist!!!!Nyerere kama kijana aliekuwa loyal kw waingreza alitumwa kuichukua Zanzibar iwe chini ya himaya ya kibepari!!Hata Neno Tanzania Lilitengenezwa na wao mabepari
As a result kukawa na serikali 2...Tanzania (Tanganuika + Zanzibar) na Zanzibar..to make it short Tanganyika dissapeared.
The benefits that Zanzibar enjoys ni kama:
Kuweka President au vice president kila term.
Kupata ajira 21% kwenye serikali ya Tz but kwenye ajira za serikali ya Zanziba, Tanzanians from mainland hawapo qualified.
70% ya watalii wanaoingia zanzibar lazima waende safari Tanganyika pia wapo watanganyika maelfu zanzibar wanaonufaika na biashara ya utalii zanzibar, usilolijua litakusumbua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.