Wakenya, mnaona vipi Muungano wa Tanzania, are Tanganyikans duped?

Na vile wanashinda humu wakijisifia eti Zanzibar tourism.🤣🤣
 
Wewe pitia hizo nyuzi ucheke usahau shida za kwenu huko.

Hunipa rahaa sana, tena muda huu niko huko napita kimya kimya nikichekelea, uzuri wenyewe kwa wenyewe huongea ukweli bila kuficha au kuremba.
 
Umegonga penyewe, I couldn't have said it better myself
Jamaa wana kila uwezo wa kuwa bora kiuchumi kuzidi mataifa yote Afrika, ila sijui huwa wana gubu au laana gani hawa au uzembe tu hadi Kenya inawazidi karibia mara mbili kiuchumi.
 
Umegonga penyewe, I couldn't have said it better myself
Jamaa wana kila uwezo wa kuwa bora kiuchumi kuzidi mataifa yote Afrika, ila sijui huwa wana gubu au laana gani hawa au uzembe tu hadi Kenya inawazidi karibia mara mbili kiuchumi.
they have a poverty of leadership/ideas

that country will remain average at best until the day they kick CCM out of office.

to progress you need change...change is inherently a risk and destabalising which means CCM will never attempt to make any serious changes which means Tanzania will never make any meaningful progress.

The day they remove CCM from power, Tanzania will takeover this region but until then.... Bongolalas is the modus operandi
 
Umegonga penyewe, I couldn't have said it better myself
Jamaa wana kila uwezo wa kuwa bora kiuchumi kuzidi mataifa yote Afrika, ila sijui huwa wana gubu au laana gani hawa au uzembe tu hadi Kenya inawazidi karibia mara mbili kiuchumi.

Oh, sasa hivi ni mmetuzidi kiuchumi, sio kila kitu eh.
Ni nani hao hawana uwezo wa kuwa bora kiuchumi. Kuna wenye guru na laana kama tribalist in this era and age?
 

True.... ukisoma hoja za huu uzi hapa chini utaona kuanzia tulipobadilisha uongozi, tulianza kuwaacha Watanzania kiuchumi kwa pengo ambalo limekua likiongezeka kila mwaka mpaka leo hii tupo karibia mara mbili yao.

 
I need time to read that one properly. interesting
 
Hawa Wazanzibari wamewakalia nyie nyie malazy wa mainland.
 
Na vile wanashinda humu wakijisifia eti Zanzibar tourism.🤣🤣
70% ya watalii wanaoingia zanzibar lazima waende safari Tanganyika pia wapo watanganyika maelfu zanzibar wanaonufaika na biashara ya utalii zanzibar, usilolijua litakusumbua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…