Unakosea sn mkuu.... Kiswahili asili yake ni KenyaUnzingua kwelikweli Kiswahili fasaha ni bongo na hata asili yake ni bongo pia
Hili jina mpaka 26/08 ipite ndiyo nitakua na amani naloBwana na Bibi Mtungi
"bibi" ni kiswahili fasaha
Kwako ww kiswahili fasaha kikojeUnzingua kwelikweli Kiswahili fasaha ni bongo na hata asili yake ni bongo pia
ama kumbe hata kiswahili fasaha hukijui kazi kwelikweli kukuelimishaKwako ww kiswahili fasaha kikoje
Huwezi kutoka chato ukajua kiswahili nyie mnajua udikteta tu😒😒ama kumbe hata kiswahili fasaha hukijui kazi kwelikweli kukuelimisha
Nitanunua kamusi ya kiswahili.Relocate to Tanzania nikufundishe kiswahili kizuri Lily
Hiyo ni Sheng yote .Mtoii - mtoto
Msupuu - dem mzuri au mkali
Ushaghoo - kijijini
Utampea - utampatia
Ngili 1 - 1,000/- ksh
Ksh. 50, 20, 10 Bob -
Juu, ni vile - kwa vile
Budaa - mtu mzima au mzee
Finya # au * - bonyeza # au *
ako Kwa nyumba - yupo nyumbani
Matumbo - utumbo
Chapoo - chapati
Matatuu - daladala
Mambo ni mengi muda ni mchache.
Kwa sisi tunao penda Kiswahili na kukienzi, aisee hawa Wakenya unaweza kuwapiga hata makofi.
Ngoja, niishie hapa maana.
kwa hiyo kila anayemtetea Magu ni wa chato...ww jamaa akili yako ...Huwezi kutoka chato ukajua kiswahili nyie mnajua udikteta tu😒😒
Km ww sio wa chato basi acha kupoteza muda wako Kumtetea diktetakwa hiyo kila anayemtetea Magu ni wa chato...ww jamaa akili yako ...
To me Magufuli is the best leader everKm ww sio wa chato basi acha kupoteza muda wako Kumtetea dikteta
Kenya wanaongea kiingereza!? Au wanajiuma-uma tuNa jiwe anawaharibia kiingereza wakenya.......
What goes around.......
Lahaja... Unachojua Ni lugha ya kitabuni.. Kiswahili hamkijui. Kama tarime hawajui Kiswahili sababu ya matamshi... Basi Kiingereza Kenya kipigwe marufuku tu.. maana mnatumia nguvu mno kuongea lugha hiyo.. #kongolatulashoni# #goingi#Hata mleta Mada hujui Kiswahili mfano ''mpaka kuonekana'' siyo kiswahili fasaha! Tamatahali za semi hujui hata moja, jazanda na sitiara za kiswahili kwako ni mweupe ila unanyooshea Kidole wenyeji wa Nairobi, wala siyo wakenya wote, Nenda Mombasa ukutane na rahaja za kiswahili zilizo tukuka!
Kwa Tanzania Nenda Mara sehemu km Tarime, Musoma vjijini utadhani siyo Tanzania, Nyumba ya Bati wanaita nyumba ya pati, tiricha=dirisha, DSM=taisarama, mswahili=mchwairi! wanajeshi=wanachesi, Bus= pasi mutukari
Ukienda usukumani ndo mamaaa! Rais wenu!
Angalia sasa gwaride la afande m-Zanzibar
''Gwaridee!! Mguu kati!! mguu kando!!! mguu kati mguu kando!!!
Bara geukiaaa!!! Pembaaa geukaa!!
Mwiliii Rejeshaa!!!! kuleni tanoo! Nilichoka kwa mbavu zangu.....
Umekuja vizuri sisi twajua cha kitabuni nyie mwajua cha maneno huoni bado tunazidiana? japo Kenya vitabu watauza, watashiba, nyinyi Mtauza nini? maneno yanauzwa ndugu? unanichekesha sana!Lahaja... Unachojua Ni lugha ya kitabuni.. Kiswahili hamkijui. Kama tarime hawajui Kiswahili sababu ya matamshi... Basi Kiingereza Kenya kipigwe marufuku tu.. maana mnatumia nguvu mno kuongea lugha hiyo.. #kongolatulashoni# #goingi#
Aliyewaloga ameshakufa😁We bila shaka ni mkenya...ngoja nikurekebishe kidogo...sio kujuwa ni kujua....sio kusema ulimaanisha kuongea.....Hivi wakenya mtajua lini kiswahili fasaha ? Ni nani aliwaroga aisee
hakuna chochote acha porojo Kenya hamjui kiswahili cha kitabuni wala cha kuongea.Wakenya wengi wanachokijua ni majivunoUmekuja vizuri sisi twajua cha kitabuni nyie mwajua cha maneno huoni bado tunazidiana? japo Kenya vitabu watauza, watashiba, nyinyi Mtauza nini? maneno yanauzwa ndugu? unanichekesha sana!
Tunatumia nguvu kuongea lugha ile ni kweli tuna nguvu hasa hata tembea yetu tu, ni nguvu, majaaliwa ya Afya bora twacheza twaimba, na kula vizuri!
Maziwa bure, Sima kubwa liloboreshwa, Mboga sukuma week mwanana, Nyama laini na Bora Africa, Matunda bora acha yale ya kupepea toka chanika, na siyo kushindia kakitumbua na maji meusi eti mwaita chai!
cha kitabuni? naaam!! ndiyo haswa akili ya kusoma chetu kilichoandikwa. siyo tarime tu, wasukuma, wachaga, wazanzibar, wahaya ni utakaa chini, Tanzania huijui weye! unaongelea ukanda wa pwani ya TZ tu, Kenya pia ipo pwani yake!
Mungu awasaidie maana wamejifunza majivuno kabla ya lugha na wangejua wangetusumbua sana, Mungu kawapiga kofiAliyewaloga ameshakufa😁