Wakenya Mnawezaje kuishi maeneo ya Garisa and Mandela?

Jamii za Wasomali, Djibouti, Eritrea na kaskazini mashariki mwa Ethiopia ni hatari sana. Wanapenda mapigano kama kula ubwabwa.
 
Wewe,usigeuze mada. Ulizokuwa ukijidai unajua kuandika na kuaminisha watu upuuzi,malizana nazo. Hizo ukizitaka zitakuja tuu. Kama vipi kachote maji ya bombani upunguze jazba kwanza

Maada ni kuishi karibu na somalia inabidi uwe na roho ngumu kama mtusi
 
Maada ni kuishi karibu na somalia inabidi uwe na roho ngumu kama mtusi
Unajua una roho nyepesi kama ya sabuni inayotumika bafuni kwa washikaji. Huko Somalia umefuata nini? Ya Somalia yanakuhusu nini? We ndo msemaji wa JF? Wa serikali? Au!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…