Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Mkikuyu alitumia Githeri kumpigia kampeni Uhuru. Ipo siku utasikia kaalikwa ikulu ya Nairobi.Ni githeri aisee linatamkwa getheri kwa kikikuyu. Huyu jamaa ikifika usiku kazi yake itakuwa ni mbio ya 100mita tu! Maanake githeri chote hicho ni hatari sana kwa afya ya binadamu na hata wanyama!
What I know huyu jama juzi wakati wakupiga kura huko Kenya aliwahi tu kwenye foleni akiwa amebeba makande kwenye kamfuko keupe. Sasa yeye bila kujali nakujua kwamba watu wamependa jinsi alivyo onyesha uzalendo. Kuwahi asubuhi na makande ndo watu wakaanza kumfuatilia. Hadi Akothe nae kampa offer nyingi kulala luxurious hotel na safari kwenye mbuga zawanyama. That's all I know nothing moreukachukulia kila mtu anaijua hiyo story .. ndo maana millardayo anatoboa sana..wape kwanza watz kisa cha huyo mtu
Kenyans celebrate the well-prepared [HASHTAG]#GitheriMan[/HASHTAG] voter - BBC News