Wakenya: Mwacheni Magufuli, aliyeshidwa na kulinda Kenya Ni Uhuru


Nyuzi zake zote zimejaa matusi kwa Uhuru, Kenya na Jubilee.
Anapojibiwa na matusi yayo hayo, anafungua uzi mwingine.
 
Akitoa pole Inasaidia nini
Uone aibu wewe nani!!
 
Sometimes you just better keep quite......The moment you write or speak your stupidity stings to high heavens
 

Are you a Terrorist?
 
Una uhakika hajatoa pole kwa Rais Kenyatta? Au lazima mtu akiia simu aandike Tweeter kwamba amepiga simu?
 

Kenya geographically ni waathirika tayari, Tanzania ipo mbali etc
 
una uhakika JPM hana namba ya UK? fikiria haya mambo yalikuwa yanafanyikaje kabla ya twitter mkuu
Hawajui tuna balozi kule inawezekana ameziwasirisha mwenyewe salam. Hawajui siyo kila salam inatangazwa utatangaza za nchi ngapi??
 
Haina maana kwako ww hapo, don't generalize. Kuna watu haya mambo hatuwazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Endelea kuropa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…