Wakenya namba tatu duniani kwenye michango, utoaji na ukarimu - mtameza tu

Wakenya namba tatu duniani kwenye michango, utoaji na ukarimu - mtameza tu

Kuna wale hata ukiondoa vipi wanarudi, ipo siku tuliwakusanya na kuwapeleka kwenye makao ya watoto ambapo tumewekeza sana lakini wakaanza kutiririka mjini mmoja mmoja. Siku nyingine tukakusanya waliotimiza umri na kuwaingiza NYS (kama JKT yenu), hata hawakumaliza wiki, wakakimbia wengi na kurudi barabarani.

Ni shughuli ya kijamii, hata Marekani wapo kwa wale wazungu ambao huwa mnawapa makinikia na wametajirika hadi basi.
Kwanini tatizo hili lipo zaidi Kenya kuliko nchi nyingi za Africa?, unataka kutuambia watoto wa Kenya wanazaliwa wakiwa na tatizo la mtindio wa ubongo?, sio kweli kama mtoto utamuandalia mazingira mazuri ya kuishi akimbie na kurudi barabarani aokoteze chakula majalalani, kama wapo watakaorudi hawazidi asilimia moja, hata huku Tanzania tunao, ila tuna mfumo mzuri wa kuwakusanya na kuwaweka katika vituo bora kama vile, The child on the Sun, SOS na vituo mbali mbali vya watoto yatima.

Tofauti inayojitokeza kati ya Kenya na Tanzania ni urithi wa siasa za Kibepari zisizojali hali za maisha ya watu masikini, kujali mali na pesa kuliko UTU wa mtu ambao ndiyo msingi wa Ujamaa wa Nyerere, haya tunayoyaona sasa hivi ya Kenya kuwa na watoto wengi wa mtaani, unemployment rate kubwa, na population kubwa below poverty line pamoja na uchumi mkubwa kuliko TZ ni athari za Mfumo wa uchumi wa kibepari, kila kitu kina faida na hasara zake, hizi ndizo hasara za ubepari mkubali kuishi nazo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini tatizo hili lipo zaidi Kenya kuliko nchi nyingi za Africa?, unataka kutuambia watoto wa Kenya wanazaliwa wakiwa na tatizo la mtindio wa ubongo?, sio kweli kama mtoto utamuandalia mazingira mazuri ya kuishi akimbie na kurudi barabarani aokoteze chakula majalalani, kama wapo watakaorudi hawazidi asilimia moja, hata huku Tanzania tunao, ila tuna mfumo mzuri wa kuwakusanya na kuwaweka katika vituo bora kama vile, The child on the Sun, SOS na vituo mbali mbali vya watoto yatima.

Tofauti inayojitokeza kati ya Kenya na Tanzania ni urithi wa siasa za Kibepari zisizojali hali za maisha ya watu masikini, kujali mali na pesa kuliko UTU wa mtu ambao ndiyo msingi wa Ujamaa wa Nyerere, haya tunayoyaona sasa hivi ya Kenya kuwa na watoto wengi wa mtaani, unemployment rate kubwa, na population kubwa below poverty line pamoja na uchumi mkubwa kuliko TZ ni athari za Mfumo wa uchumi wa kibepari, kila kitu kina faida na hasara zake, hizi ndizo hasara za ubepari mkubali kuishi nazo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo la 'street families' lipo dunia yote, hata ukienda Marekani kule kwa wenye kila kitu. Huwa wamezoea kupewa mihela wakiwa nje barabarani na kuvuta gundi, mazingira ya kihivyo hayapatikani kule kwa makao ya watoto.

Pili hiyo Tanzania yenu unayojisifia eti kwamba hamna watoto barabarani ni uongo mtupu, aidha utakua unaishi nje ya nchi. Naweza nikakutuma hata hapo Dar mjini kati sehemu utakuta watoto wanaoweza kujaza kijiji kizima, kwanza huwa wanatia huruma sana maana wamefunzwa na mama zao jinsi ya kuomba kwamba huwezi kuwakaushia. Mtoto mdogo anakufuata akiita 'baba sijala tangu jana, baba naomba chakula, baba ninunulie chakula', aisei huwa wakiniibukia inanilazimu kuwapa tu. Ukimpa mmoja ndio wanakuja nyomi.

Halafu omba omba wa kutokea Tanzania tunao sana kwenye barabara za Kenya, kwa hivyo wacha kutudanganya humu eti nyie ni dunia nyingine isiyokua na matatizo ya kihivi.
 
Tatizo la 'street families' lipo dunia yote, hata ukienda Marekani kule kwa wenye kila kitu. Huwa wamezoea kupewa mihela wakiwa nje barabarani na kuvuta gundi, mazingira ya kihivyo hayapatikani kule kwa makao ya watoto.

Pili hiyo Tanzania yenu unayojisifia eti kwamba hamna watoto barabarani ni uongo mtupu, aidha utakua unaishi nje ya nchi. Naweza nikakutuma hata hapo Dar mjini kati sehemu utakuta watoto wanaoweza kujaza kijiji kizima, kwanza huwa wanatia huruma sana maana wamefunzwa na mama zao jinsi ya kuomba kwamba huwezi kuwakaushia. Mtoto mdogo anakufuata akiita 'baba sijala tangu jana, baba naomba chakula, baba ninunulie chakula', aisei huwa wakiniibukia inanilazimu kuwapa tu. Ukimpa mmoja ndio wanakuja nyomi.

Halafu omba omba wa kutokea Tanzania tunao sana kwenye barabara za Kenya, kwa hivyo wacha kutudanganya humu eti nyie ni dunia nyingine isiyokua na matatizo ya kihivi.
Bado ninaamini kwamba umesoma shule na unauwezo wa kujenga hoja kwa ajili ya manufaa ya wanajamii sio ushabiki, sikusema Tanzania hakuna hao watoto wa mitaani, ila nimesema tatizo hili ni kubwa zaidi Kenya kuliko nchi nyingi za Afrika, hata USA kuna masikini, hii haina maana kwamba Marekani ni masikini, au proportion ya watu masikini Kenya ni sawa na ile ya Marekani au Tanzania.

Ukweli ni kwamba tatizo la watoto wa mitaani Nairobi na Kenya nzima ni kubwa kuliko nchi nyingi za Africa, na sababu za hali hii ziko wazi kwa Kenya na nimezitaja hapo juu, unemployment ya 48% unategemea nini?, Watu wasiozidi elfu kumi kumiliki zaidi ya nusu ya uchumi wa Kenya unategemea nini?, nchi nyingi zina watoto wa mitaani, karibu zote, ila zinapitana kwa wingi, kwa hapa EA, tatizo ni kubwa zaidi Kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnafahamu kwamba Tundu Lisu kapigwa Risasi na watu 'wasiofahamika'?
 
Kwanini tatizo hili lipo zaidi Kenya kuliko nchi nyingi za Africa?, unataka kutuambia watoto wa Kenya wanazaliwa wakiwa na tatizo la mtindio wa ubongo?, sio kweli kama mtoto utamuandalia mazingira mazuri ya kuishi akimbie na kurudi barabarani aokoteze chakula majalalani, kama wapo watakaorudi hawazidi asilimia moja, hata huku Tanzania tunao, ila tuna mfumo mzuri wa kuwakusanya na kuwaweka katika vituo bora kama vile, The child on the Sun, SOS na vituo mbali mbali vya watoto yatima.

Tofauti inayojitokeza kati ya Kenya na Tanzania ni urithi wa siasa za Kibepari zisizojali hali za maisha ya watu masikini, kujali mali na pesa kuliko UTU wa mtu ambao ndiyo msingi wa Ujamaa wa Nyerere, haya tunayoyaona sasa hivi ya Kenya kuwa na watoto wengi wa mtaani, unemployment rate kubwa, na population kubwa below poverty line pamoja na uchumi mkubwa kuliko TZ ni athari za Mfumo wa uchumi wa kibepari, kila kitu kina faida na hasara zake, hizi ndizo hasara za ubepari mkubali kuishi nazo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo la 'street families' lipo dunia yote, hata ukienda Marekani kule kwa wenye kila kitu. Huwa wamezoea kupewa mihela wakiwa nje barabarani na kuvuta gundi, mazingira ya kihivyo hayapatikani kule kwa makao ya watoto.

Pili hiyo Tanzania yenu unayojisifia eti kwamba hamna watoto barabarani ni uongo mtupu, aidha utakua unaishi nje ya nchi. Naweza nikakutuma hata hapo Dar mjini kati sehemu utakuta watoto wanaoweza kujaza kijiji kizima, kwanza huwa wanatia huruma sana maana wamefunzwa na mama zao jinsi ya kuomba kwamba huwezi kuwakaushia. Mtoto mdogo anakufuata akiita 'baba sijala tangu jana, baba naomba chakula, baba ninunulie chakula', aisei huwa wakiniibukia inanilazimu kuwapa tu. Ukimpa mmoja ndio wanakuja nyomi.

Halafu omba omba wa kutokea Tanzania tunao sana kwenye barabara za Kenya, kwa hivyo wacha kutudanganya humu eti nyie ni dunia nyingine isiyokua na matatizo ya kihivi.
Bado ninaamini kwamba umesoma shule na unauwezo wa kujenga hoja kwa ajili ya manufaa ya wanajamii sio ushabiki, sikusema Tanzania hakuna hao watoto wa mitaani, ila nimesema tatizo hili ni kubwa zaidi Kenya kuliko nchi nyingi za Afrika, hata USA kuna masikini, hii haina maana kwamba Marekani ni masikini, au proportion ya watu masikini Kenya ni sawa na ile ya Marekani au Tanzania.

Ukweli ni kwamba tatizo la watoto wa mitaani Nairobi na Kenya nzima ni kubwa kuliko nchi nyingi za Africa, na sababu za hali hii ziko wazi kwa Kenya na nimezitaja hapo juu, unemployment ya 48% unategemea nini?, Watu wasiozidi elfu kumi kumiliki zaidi ya nusu ya uchumi wa Kenya unategemea nini?, nchi nyingi zina watoto wa mitaani, karibu zote, ila zinapitana kwa wingi, kwa hapa EA, tatizo ni kubwa zaidi Kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kama umeenda shule unavyotaka kutuaminisha naomba utumie takwimu. Njoo na homeless ratio statistics sio kuleta ushabiki hapa.
 
Tatizo la 'street families' lipo dunia yote, hata ukienda Marekani kule kwa wenye kila kitu. Huwa wamezoea kupewa mihela wakiwa nje barabarani na kuvuta gundi, mazingira ya kihivyo hayapatikani kule kwa makao ya watoto.

Pili hiyo Tanzania yenu unayojisifia eti kwamba hamna watoto barabarani ni uongo mtupu, aidha utakua unaishi nje ya nchi. Naweza nikakutuma hata hapo Dar mjini kati sehemu utakuta watoto wanaoweza kujaza kijiji kizima, kwanza huwa wanatia huruma sana maana wamefunzwa na mama zao jinsi ya kuomba kwamba huwezi kuwakaushia. Mtoto mdogo anakufuata akiita 'baba sijala tangu jana, baba naomba chakula, baba ninunulie chakula', aisei huwa wakiniibukia inanilazimu kuwapa tu. Ukimpa mmoja ndio wanakuja nyomi.

Halafu omba omba wa kutokea Tanzania tunao sana kwenye barabara za Kenya, kwa hivyo wacha kutudanganya humu eti nyie ni dunia nyingine isiyokua na matatizo ya kihivi.


Kama umeenda shule unavyotaka kutuaminisha naomba utumie takwimu. Njoo na homeless ratio statistics sio kuleta ushabiki hapa.
Nimeanza na pro indicators za watoto wa mitaani, unemployment rate, population below poverty line, Gini coefficient, draught situation, insecurity in parts of the country, and land ownership and distribution, vyote ni catalyst ya watoto wa mitaani, kwa Kenya vyote vinaegemea upande hasi ukilinganisha na Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bongo utaipata hapa kivipi? hao kazi yao ni kupiga story tu kule Dar...
 
Nimeanza na pro indicators za watoto wa mitaani, unemployment rate, population below poverty line, Gini coefficient, draught situation, insecurity in parts of the country, and land ownership and distribution, vyote ni catalyst ya watoto wa mitaani, kwa Kenya vyote vinaegemea upande hasi ukilinganisha na Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app

Nimekuambia ujadili mada kitaalam kwa kutumia takwimu sio haya maneno ya kwenye kanga, Tanzania asilimia 70% mpo maskini wa kutupwa (below poverty line) kwa mujibu wa takwimu za Benki Kuu sasa hayo mengine ni blah blah Tanzania Mainland Poverty Assessment: A New Picture of Growth for Tanzania Emerges
Use hard facts and figures.
 
Nimekuambia ujadili mada kitaalam kwa kutumia takwimu sio haya maneno ya kwenye kanga, Tanzania asilimia 70% mpo maskini wa kutupwa (below poverty line) kwa mujibu wa takwimu za Benki Kuu sasa hayo mengine ni blah blah Tanzania Mainland Poverty Assessment: A New Picture of Growth for Tanzania Emerges
Use hard facts and figures.
Ninakumbuka hii debate ya hizi taarifa za population before poverty line kati yahizi nchi mbili zimetolewa mara nyingi sana hapa jamvini, hasa Geza ulole amezitoa mara nyingi, sitorudia tena, ila ukitaka kupata ukweli taarifa zote unaweza kuzipata kwenye websites za WB, nenda huko linganisha na utajua ukweli.

Kwa kifupi tu ni kwamba, Kenya imeizidi TZ kwenye GDP na GDP per capital, ila maeneo mengine kama vile, unemployment rate, population under poverty line, Gini coefficient. Kwa faida yako pitia hizi indicators utajua ukweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuambia ujadili mada kitaalam kwa kutumia takwimu sio haya maneno ya kwenye kanga, Tanzania asilimia 70% mpo maskini wa kutupwa (below poverty line) kwa mujibu wa takwimu za Benki Kuu sasa hayo mengine ni blah blah Tanzania Mainland Poverty Assessment: A New Picture of Growth for Tanzania Emerges
Use hard facts and figures.
Tafadhali sana unapolinganisha vitu viwili unapaswa ulete vyote viwili ili tuweze kulinganisha, kwa sababu hii taarifa ya WB uliyotumia inazungumzia Tanzania tu, je umeangalia hali Kenya ikoje?, kwa mfano inasema kiwango cha umasikini kimeendelea kupungua hadi kufikia asilimia 28.2 mwaka 2012, japo bado WB haijatoa takwimu za mwaka 2016, lakini taarifa za TBS zinaonyesha ni 11%, zile za Kenya ni ngapi?, zilete hapa tulinganishe.

Hii taarifa inasema 70% ya population ya Tanzania inaishi chini ya $2 kwa siku, kwa nini huonyeshi za Kenya tulinganishe, unaficha nini?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninakumbuka hii debate ya hizi taarifa za population before poverty line kati yahizi nchi mbili zimetolewa mara nyingi sana hapa jamvini, hasa Geza ulole amezitoa mara nyingi, sitorudia tena, ila ukitaka kupata ukweli taarifa zote unaweza kuzipata kwenye websites za WB, nenda huko linganisha na utajua ukweli.

Kwa kifupi tu ni kwamba, Kenya imeizidi TZ kwenye GDP na GDP per capital, ila maeneo mengine kama vile, unemployment rate, population under poverty line, Gini coefficient. Kwa faida yako pitia hizi indicators utajua ukweli.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hao unaoniambia kwamba walileta taarifa humu siwezi kuwategemea, maana hawana uwezo wa kufanya survey na humu tulipelekeshana na wao kwenye nyuzi kadhaa.
 
Bado ninaamini kwamba umesoma shule na unauwezo wa kujenga hoja kwa ajili ya manufaa ya wanajamii sio ushabiki, sikusema Tanzania hakuna hao watoto wa mitaani, ila nimesema tatizo hili ni kubwa zaidi Kenya kuliko nchi nyingi za Afrika, hata USA kuna masikini, hii haina maana kwamba Marekani ni masikini, au proportion ya watu masikini Kenya ni sawa na ile ya Marekani au Tanzania.

Ukweli ni kwamba tatizo la watoto wa mitaani Nairobi na Kenya nzima ni kubwa kuliko nchi nyingi za Africa, na sababu za hali hii ziko wazi kwa Kenya na nimezitaja hapo juu, unemployment ya 48% unategemea nini?, Watu wasiozidi elfu kumi kumiliki zaidi ya nusu ya uchumi wa Kenya unategemea nini?, nchi nyingi zina watoto wa mitaani, karibu zote, ila zinapitana kwa wingi, kwa hapa EA, tatizo ni kubwa zaidi Kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
huna akili ww...data hizi unatoa wapi? kichwa chako?
 
Ninahisi ulizaliwa kwa njia ya nyuma badala ya mbele....nimekuambia data zote zipo WB data base, umeenda kuangalia?, umeleta information za Tanzania pekee wakati ulipaswa kuleta na Zenu pamoja ili tulinganishe, nyang'au mkubwa wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzi huu umeudandia kwa mbele, ulikua sio wako kama ulitaka kuchangia ulipaswa kufuatilia kwa makini na kuchangua kwa adabu, kwani ulikuta mimi na MK254 tunatukanana au tunasutana kwa hoja?, flustrations zako za kuwa jobless usizilete hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jay456watt ni muhimu ujifunze ustaarabu japo sio utamaduni wenu huko Kenya, hili ni jukwaa la watu wastaarabu, sio kwamba hatujui kutukana ila sio utamaduni wetu, jiheshimu tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najua ngumu kumeza, lakini ndivyo ilivyo. Utafiti uliofanywa duniani umeorodhesha Wakenya kama namba tatu kwenye
- Kuwasaidia watu wasiowajua
- Utoaji wa michango kwa jamii na wasiojiweza
- Kujitolea kwenye kazi za jamii bila kutegemea malipo

La kushangaza hakuna jirani yetu yeyote ambaye yupo kwenye ishirini bora, yaani nchi yetu pamoja na ukame wote huu na kwamba ni ndogo na hatuna madini lakini tunajituma na kutia bidii na pia kupata nafasi ya kujitolea kwa jamii. Baraka zinatumiminikia kila siku.

Wanasiasa ndio hutuangusha tu.....Mungu ibariki nchi yetu....

View attachment 583112

https://www.cafonline.org/docs/defa.../cafworldgivingindex2017_2167a_web_040917.pdf
--------------------------------------------

Description
This eighth edition of the World Giving Index again presents giving data from across the globe over a five year period (2012-2016). The World Giving Index 2017 includes data from 139 countries that was collected throughout 2016. A full explanation of the methodology used is included in the appendices.

CAF World Giving Index 2017 | APO
Usawa huu utamsaidia nani wakati mkulu kabana njia zote hadi zile za udokozi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wabongo wanaunafiki Mkubwa hawawezi kutokea hapa...sio ajabu profesa jay alisema "wanakuchekea huku wameficha mapanga"
 
Back
Top Bottom