Wakenya namba tatu duniani kwenye michango, utoaji na ukarimu - mtameza tu

Hahaha huyo aliefanya huo utafiti ni mkenya
 
Tanzania tumeikomboa Africa hii almost yote for free itakua nyie hata kujikomboa na njaa tabu.
Mlikomboa Afrika nzima? Hehe, na ile Majimaji yenu? Jikomboeni kutoka kwa udikteta na fisiemu kwanza ndo tukubali nyinyi ni mamasta ! Mmmh, jione!😀
 
Wakenya hawahawa ambaowakifika dukani wanasema "NIPE" au "PATIA MIMI"

17 PHD these are results
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…