Kwani wanafanya bure,Hakuna pesa chafu na safi,
Acha vijana wa hustle, tumia bundles zako vizuri si kuingia tu online kuchat kama zuzu
Baki na kiswAhili yako
Enda Kotini kaka, pesa tunaweka kwenye mifukoAha haa
πππ€£
Sasa wewe kama kwako hela ni hela tu. Itoke kwenye mihadarati, chang'aa, miraa n.k. wewe ni sawa tu. Tutajadili nini? Wakati what these Kenyans mules do is a serious academic offence.
Mambo mengine ni ujinga tu, > 45 million people mnajivunia kuandikia Muzungu essay, WTF?
Usikute hizo ndo miongoni mwa assignments ninazowapa watoto wa kizungu.
[emoji16][emoji23][emoji1787]
Mambo mengine ni ujinga tu, > 45 million people mnajivunia kuandikia Muzungu essay, WTF?