Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Inawezekana vp mtu mmoja tu Raila Odinga tena wala asiye na Cheo chochote kile Serikalini kuisimamisha nchi nzima? Yaani maisha ya watu zaidi ya milioni 40 yanaamuliwa na mtu mmoja tu, Raila Odinga, ina maana akiamua Kenya kuwe na fujo inakuwa hivyo, akiamua Amani inakuwa hivyo, ...