Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa makini, utakamatwa kwa kosa la kusambaza habari za uongo Kuhusu Corona.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawa ndio wale Wakenya wa diaspora na mimi nilikuwa mmoja wao hivi maajuzi tu. Sasa wametoka nchi za ulaya kisha wakaambiwa lazima waende mandatory quarantine at their own cost. Yaani waende kwa hoteli na wajilipie wenyewe. Uganda ndio walianza hii policy, Kenya pia tunaifuata. Hii policy naiunga mkono kwa sababu inazuia Mkenya wa Kawaida kupata Corona. Wakenya wa diaspora ndio wametuletea corona huku, hata sio tourists ama Chinese, ni hawa tu wanaopiga makelele kwenye hii video. Mimi nasema Serikali ya KE ikae ngumu na hata ikibidi walete GSU ifanye kazi yake. Wakenya tupunguze kichwa ngumu saa zingine. Nchi kama Israel au China zina quarantine na wananchi wao hawapigi kelele. Tuheshimu sheria na maagizo. Wangefuata maagizo kama ingetolewa na hizo nchi za ulaya ila kwa sababu imetolewa na nchi yao, hawataki kufuata.
Mimi nasupport serikali 100% kwa hili. Diaspora wakae quarantine 14 days kwanza, hao ndio wanatuletea corona.Kuwa makini, utakamatwa kwa kosa la kusambaza habari za uongo Kuhusu Corona.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kenya kwa wakati huu hairuhusiwi kuzungumza lolote Kuhusu Corona, haijalishi unaunga mkono serikali au hapana, kuwa makini sana ndugu [emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nasupport serikali 100% kwa hili. Diaspora wakae quarantine 14 days kwanza, hao ndio wanatuletea corona. Kesi karibu zote za corona zimeletwa na diaspora.
Umenifanya nikapata tumbo joto bure. Hahaha sasa ona umebadilisha uzi😀😀😁Kuwa makini, utakamatwa kwa kosa la kusambaza habari za uongo Kuhusu Corona.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Anajaribu kuwa inferior, na ywajua hatufananiUmenifanya nikapata tumbo joto bure. Hahaha sasa ona umebadilisha uzi[emoji3][emoji3][emoji16]
Hahahaha, hahahaha, hahahaha. Uhuru wa kujieleza upo chini ya karantini kwa siku 30[emoji23][emoji23][emoji23]
Kujieleza ni nini?Hahahaha, hahahaha, hahahaha. Uhuru wa kujieleza upo chini ya karantini kwa siku 30[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Freedom of expression is under quarantine for 30 days [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kujieleza ni nini?
Hahaha!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]ona mtu akirukaruka
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nani kakupa mamlaka ya kuzungumzia corona mtandaoni.Je ujasikia tamko la nchi yako?Unajiweka matataniKunao nusra nigombane nao wakati nafanya mazoezi asubuhi, matatu inachukua abiria bila kuhakikisha wananawa mikono.
Diaspora wakae huko huko mpaka tuone wapi tunaaelekezwa na hiki kitu, na wanaokuja lazima wapelekwe karantini kwa lazima, serikali imeweka magari maalum kwenye uwanja wa ndege, ukiwasili unachukuliwa moja kwa moja hadi maeneo maalum, uishi huko hadi siku 14 ziishe ndio uruhusiwe ndani.
Halafu wanaoeneza habari za uwongo wajue watakamatwa tu, hilo halina ubishi, huu ni wakati hatari sana, tusiishi kwa mazoea. Siasa ziwekwe pembeni kabisaaaa!!! Uwe unaichukia serikali au unaipenda, hakikisha hudanganyi kwenye mitandao, mtu anapata ujasiri wa kuandika kuhusu vifo vya Corona Kenya....dah watu wana roho.
Asante santa kw kurukaruka[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Freedom of expression is under quarantine for 30 days [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kujieleza, Hahahaha, hahahaha.
Tunaiamini Sana "our health system, it will definitely put the situation under control without too much restrictions, remember Tanzania health system is the best in Africa"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tz Kuna Corona cases lakini bado mikutano ya kisiasa na upigaji siasa zinaendelea Kama kawaida [emoji23] [emoji23] Sijui vile TPDF(Tanzagiza Peanuts dehuskers Forces) watakabiliana na janga hili.
Mkuu nani kakupa mamlaka ya kuzungumzia corona mtandaoni.Je ujasikia tamko la nchi yako?Unajiweka matatani
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko na ushahidiMkuu nani kakupa mamlaka ya kuzungumzia corona mtandaoni.Je ujasikia tamko la nchi yako?Unajiweka matatani
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kujieleza, Hahahaha, hahahaha.
Freedom of expression is under quarantine for 30 days, soon will be under total lockdown [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app