Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameiga Nigeria wakamix na chakacha ya Kenya. Ndivyo akina Diamond wanavyoimba.Hawa akina TID ndio walikua wanaimba Bongo flavor, siku hizi hamna Bongo tena, wameiga kila kitu kutoka Nigeria, tofauti ni lugha tu.