Wakenya nje ya nchi wazidi kuvunja rekodi ya utumaji wa hela nyumbani

Wakenya nje ya nchi wazidi kuvunja rekodi ya utumaji wa hela nyumbani

Man, at least waende wakachukue ujuzi waje wajenge nchi, Kwa Tanzania wapo wengi, japo sijui idadi na so long as hatushindani nani anao wengi zaidi ya mwenzie, Wapo watanzania wameajiriwa nchi tofautitofauti, Kuna baadhi ya Experts Kikwete aliwarudisha tz waje kujenga nchi kwani walikuwa tayari na ujuzi wa hali ya juu akiwemo Prof.Muhongo. Dr.Mvungi, Dr.James Mataragio( former TPDC MD) na wengineo wengi, wapo wengine wengi wanaofanya kazi huko na wana ujuzi, atleast nchi zetu zingekuwa na utaratibu wa kupeleka wanafunzi huko wakajifunze na kuiba technology to me ingekuwa ni news, To me it is not always about Money, tumetofautiana mkuu, siwezi kujivunia hela tu ambazo pengine sijui wanazipataje huko, Either wameolewa huko ikiwa wao ni wanaume kama huyu Mkenya msomi alivyofanya huko USA?
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
View attachment 608212
Au wananyanyasika majumbani kama wale wa UAE na nchi nyingine za waarabu au wanabeba mabox huko, Kuna Dada zenu wanauza papuchi huko uarabuni wanapata hela wanawatumia halafu mnakuja kureport na kuturingishia humu,
Lakini tumetofautiana mtazamo mkuu,
Ndio maana nikasema Hongera kwenu, but to me It doesn't make any sense.
Siku zote Kenya na Tanzania wanatofautiana sana katika sera za uchumi, Ujamaa unazingatia maendeleo endelevu ya wananchi na nchi husika, ubepari ni unajali faida tu japo kwa watu wachache, ubepari haujali pesa imepatikanaje, uhalali wa hiyo pesa, inasaidiaje kuendeleza nchi na wananchi kwa ujumla.
 
Man, at least waende wakachukue ujuzi waje wajenge nchi, Kwa Tanzania wapo wengi, japo sijui idadi na so long as hatushindani nani anao wengi zaidi ya mwenzie, Wapo watanzania wameajiriwa nchi tofautitofauti, Kuna baadhi ya Experts Kikwete aliwarudisha tz waje kujenga nchi kwani walikuwa tayari na ujuzi wa hali ya juu akiwemo Prof.Muhongo. Dr.Mvungi, Dr.James Mataragio( former TPDC MD) na wengineo wengi, wapo wengine wengi wanaofanya kazi huko na wana ujuzi, atleast nchi zetu zingekuwa na utaratibu wa kupeleka wanafunzi huko wakajifunze na kuiba technology to me ingekuwa ni news, To me it is not always about Money, tumetofautiana mkuu, siwezi kujivunia hela tu ambazo pengine sijui wanazipataje huko, Either wameolewa huko ikiwa wao ni wanaume kama huyu Mkenya msomi alivyofanya huko USA?
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
View attachment 608212
Au wananyanyasika majumbani kama wale wa UAE na nchi nyingine za waarabu au wanabeba mabox huko, Kuna Dada zenu wanauza papuchi huko uarabuni wanapata hela wanawatumia halafu mnakuja kureport na kuturingishia humu,
Lakini tumetofautiana mtazamo mkuu,
Ndio maana nikasema Hongera kwenu, but to me It doesn't make any sense.
Tuliza povu we! Mbona mashoga wa Tz wamejaa USA kila kona tu, mmoja huyu hapa bingwa wa hizo kazi, jina lake in juma Ali . palee insta maarufu Sana huyu
FB_IMG_1507622614800.jpg
 
PATRIOTISM!
Mungu anisamehe, ila JKN alifanya mambo makubwa sana hapa nchini, sina haja ya kuelezea juu ya mchakato husika, yes, hata kujiita Wa-Tz ni kwa sbb yake but, lipo jambo hapa linalohitaji udadavuzi! Nalo ni (question-wise): Ni kwa nini ni vigumu sana kwa Mtanzania kujivunia u-Tanzania wake kama Wakenya wanavyojivunia Ukenya wao?!!!!! This needs to be answered by GREAT THINKERS and not NORMAL Thinkers!
Point point point...ni kwasababu akili zetu za kushikiwa na wanasiasa
 
Hao wakenya waliotuma pesa hizo siyo wakenya waswahili Bali, ni wakewenya wenye asili ya kisomali waliopo nje na wakimbizi wa kisomali waliopo nje na kuwatumia nduguzao wanaoishi kwenye makambi ya wakimbizi nchini Kenya.
Ikumbukwe kwamba Kenya ina raia wenye asili ya kisomali wapatao karibu million moja, yalivo tokea mapigano ya wenyewe kwa wenye na kusambaratika serikali ya Somalia, ilibidi wasomaliya wakatafuta hifadhi Kenya na ndio hapo nafasi ya wakimbizi kupelekwa nchi za USA, ULAYA na Scandinavia ikawajia ndio hapo wakenya wenye asili ya kisomali wakaanza kujifanya wakimbizi na kujichanganya na ndugu zao wakimbizi wa somalia
 
PATRIOTISM!
Mungu anisamehe, ila JKN alifanya mambo makubwa sana hapa nchini, sina haja ya kuelezea juu ya mchakato husika, yes, hata kujiita Wa-Tz ni kwa sbb yake but, lipo jambo hapa linalohitaji udadavuzi! Nalo ni (question-wise): Ni kwa nini ni vigumu sana kwa Mtanzania kujivunia u-Tanzania wake kama Wakenya wanavyojivunia Ukenya wao?!!!!! This needs to be answered by GREAT THINKERS and not NORMAL Thinkers!
jizungumzie wewe usizungumzie watu......si kila mtu ajivunii kuwa mtanzania......
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Hamna uhusiano wa uraia pacha na kutuma pesa nyumbani. Hiyo ni moja ya sababu za kijinga wanayotoa watu wanaotaka uraia pacha. Btw, tabia yenu ya watu mnaoishi Afrika kutuombaomba pesa imetuchosha. Ebu muangalie Mkenya mwenzenu anavyolalamikia mizinga ya watu wa nyumbani.


safi sana wape live
 
Man, at least waende wakachukue ujuzi waje wajenge nchi, Kwa Tanzania wapo wengi, japo sijui idadi na so long as hatushindani nani anao wengi zaidi ya mwenzie, Wapo watanzania wameajiriwa nchi tofautitofauti, Kuna baadhi ya Experts Kikwete aliwarudisha tz waje kujenga nchi kwani walikuwa tayari na ujuzi wa hali ya juu akiwemo Prof.Muhongo. Dr.Mvungi, Dr.James Mataragio( former TPDC MD) na wengineo wengi, wapo wengine wengi wanaofanya kazi huko na wana ujuzi, atleast nchi zetu zingekuwa na utaratibu wa kupeleka wanafunzi huko wakajifunze na kuiba technology to me ingekuwa ni news, To me it is not always about Money, tumetofautiana mkuu, siwezi kujivunia hela tu ambazo pengine sijui wanazipataje huko, Either wameolewa huko ikiwa wao ni wanaume kama huyu Mkenya msomi alivyofanya huko USA?
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
View attachment 608212
Au wananyanyasika majumbani kama wale wa UAE na nchi nyingine za waarabu au wanabeba mabox huko, Kuna Dada zenu wanauza papuchi huko uarabuni wanapata hela wanawatumia halafu mnakuja kureport na kuturingishia humu,
Lakini tumetofautiana mtazamo mkuu,
Ndio maana nikasema Hongera kwenu, but to me It doesn't make any sense.
hapo umenena
 
Hahaha mkuu umenikumbusha Story ya Emanuel Adebayor, Umaskini unatuaibisha waafrica.
Sipendi kabisa habari za Namna hii maana zimekaa kimaskini sana.
kweli kabisa ni zakinjaa njaa ....ukiona raia wako wengi wanakimbilia nnje ya nchi kutaabika jua kabisa nchi yako bado..ni sawa nawakenya jinsi wanavyozurura nchi za watu na hii yote sababu ya umaskin halafu wakija watajiita middle economy

ni bad condition aisee kama wao wanaona kuishi nnje ya nchi yaani ughaibuni kuliko kwao basi hakuna uzalendo
 
Tuliza povu we! Mbona mashoga wa Tz wamejaa USA kila kona tu, mmoja huyu hapa bingwa wa hizo kazi, jina lake in juma Ali . palee insta maarufu Sana huyu View attachment 608284
huyo ni mkenya mwenzenu toka mombasani anajifanya mtz....

nakingine watz hawana mtindo wakujishow wanapokuwa nnje shida ipo kwenu wakina juakali[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Hao wakenya waliotuma pesa hizo siyo wakenya waswahili Bali, ni wakewenya wenye asili ya kisomali waliopo nje na wakimbizi wa kisomali waliopo nje na kuwatumia nduguzao wanaoishi kwenye makambi ya wakimbizi nchini Kenya.
Ikumbukwe kwamba Kenya ina raia wenye asili ya kisomali wapatao karibu million moja, yalivo tokea mapigano ya wenyewe kwa wenye na kusambaratika serikali ya Somalia, ilibidi wasomaliya wakatafuta hifadhi Kenya na ndio hapo nafasi ya wakimbizi kupelekwa nchi za USA, ULAYA na Scandinavia ikawajia ndio hapo wakenya wenye asili ya kisomali wakaanza kujifanya wakimbizi na kujichanganya na ndugu zao wakimbizi wa somalia
wakenya niwapuuzi sana yaani huo ndiyo ukweli
 
kweli kabisa ni zakinjaa njaa ....ukiona raia wako wengi wanakimbilia nnje ya nchi kutaabika jua kabisa nchi yako bado..ni sawa nawakenya jinsi wanavyozurura nchi za watu na hii yote sababu ya umaskin halafu wakija watajiita middle economy

ni bad condition aisee kama wao wanaona kuishi nnje ya nchi yaani ughaibuni kuliko kwao basi hakuna uzalendo


Kumbe wa Kenya hali mbaya ndo maana wanakimbia nchini mwao.... hahaha
 
Ndio umuhmu wa kuwa na nguvu kazi iliyoelimika, hata wakitoka kwenda nje hawanedi kubeba mabox, wanafanya vitu vya kueleweka na kuishia kutuma hela za kweli nyumbani. Yaani kufikia Agosti wametuma 17.18 bilioni za Kenya (sio pesa madafu).

Dah! Mungu awabariki na kuendelea kuwapa nguvu. Uraia pacha umewezesha pakubwa, wanapewa uraia huko nje lakini uzalendo unabaki wa kwao nyumbani.
---------------------------------------------------------

Kenyans abroad have kept cash remittances healthy with money sent home growing 9.26 per cent in August this year compared with a month earlier.

Monthly data released by the Central Bank of Kenya (CBK) shows that diaspora remittances reached $166.4 million (about Sh17.18 billion) in August compared with $152.3 million (about Sh15.72 billion) in July this year.

Year on year, the August remittances grew 13.4 per cent from the $146.7 million (about Sh15.15 billion) reported in August last year.

Diaspora remittances, which have become a key support of the Kenya shilling that is under pressure due to low export earnings, stood at $154.8 million (about Sh15.99 billion) in June.

This is a drop on 4.1 per cent compared to the $161.5 million (about Sh16.7 billion) recorded in May this year.

Biggest earner

In April, the remittances stood at $138.6 million (about Sh14.31 billion), six per cent lower than the $147.5 million (about Sh15.23 billion) recorded in March this year.

Remittances have become the country’s biggest source of foreign exchange income, insulating the domestic economy from external shocks by ensuring the steady supply of dollars in the system.


Also, these cash transfers are a major driver for domestic consumption, hence contributing to strong economic growth.

According to a World Bank report, Kenya is among the highest recipients of remittances in Africa.

Remittances grow 9.26 per cent to Sh17 billion in August
Huenda wanasapoti machafuko yanayoendelea sasa si umesikia kuna sehemu waandamanaji wanalishwa ugali kakaandamane.
 
Hao wakenya waliotuma pesa hizo siyo wakenya waswahili Bali, ni wakewenya wenye asili ya kisomali waliopo nje na wakimbizi wa kisomali waliopo nje na kuwatumia nduguzao wanaoishi kwenye makambi ya wakimbizi nchini Kenya.
Ikumbukwe kwamba Kenya ina raia wenye asili ya kisomali wapatao karibu million moja, yalivo tokea mapigano ya wenyewe kwa wenye na kusambaratika serikali ya Somalia, ilibidi wasomaliya wakatafuta hifadhi Kenya na ndio hapo nafasi ya wakimbizi kupelekwa nchi za USA, ULAYA na Scandinavia ikawajia ndio hapo wakenya wenye asili ya kisomali wakaanza kujifanya wakimbizi na kujichanganya na ndugu zao wakimbizi wa somalia
Umeongea kama wajinga kumi pamoja.
 
PATRIOTISM!
Mungu anisamehe, ila JKN alifanya mambo makubwa sana hapa nchini, sina haja ya kuelezea juu ya mchakato husika, yes, hata kujiita Wa-Tz ni kwa sbb yake but, lipo jambo hapa linalohitaji udadavuzi! Nalo ni (question-wise): Ni kwa nini ni vigumu sana kwa Mtanzania kujivunia u-Tanzania wake kama Wakenya wanavyojivunia Ukenya wao?!!!!! This needs to be answered by GREAT THINKERS and not NORMAL Thinkers!
I wish this was posted in great thinker's forum!
 
Back
Top Bottom