Wakenya si wa kawaida wanapiga deal mibuyu.

Kuanzia kwa mleta nada hadi wachangiaji, sijaona Cha maana mlichozungumuzia!! ndio wakenya wanapiha Dil, kivipi? Mibuyuu hio inafaida gani? na nn matumizi yake tofauti na mabuyu?? Je hiyo mibuyuu inasafirishwa kwenda wapi? Nazani mleta hoja na wachangiaji mngejibu haya maswali, sio kizungumuzia sura ya mtu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…