Chakula Kibaya
JF-Expert Member
- Sep 19, 2022
- 689
- 1,562
Waje dodoma watupunguzie mibuyu maana idadi ya mibuyu ni mingi kuzidi idadi ya binadamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waje dodoma watupunguzie mibuyu maana idadi ya mibuyu ni mingi kuzidi idadi ya binadamu.
Mibuyu ni miaka 2000 na sio 100 hivyo ni miti ya thamani kuzidi hata private jetMchango wa mibuyu kwenye mazingira upoje? Haina kazi?
Maana kuuza mti wa miaka zaidi ya 100 kwa milioni 2 sio sawa
Kama mti wa Xmas ama [emoji1] [emoji1787] [emoji23]Hata mi nimejikuta nimetamani huo mbuyu niupambe geto
Tatizo lako wewe kutwa kucha unasikiliza bongofleva tu, habari hii iko BBC. Mchina anatengeneza mbao feki kwa kukandamiza makaratasi kisha anayafunika na fomaika, ndiyo hayo makabati yaliyojaa mitaani, utazimia siku ukisikia mchina anapasua mbao za mipapai!Kuanzia kwa mleta nada hadi wachangiaji, sijaona Cha maana mlichozungumuzia!! ndio wakenya wanapiha Dil, kivipi? Mibuyuu hio inafaida gani? na nn matumizi yake tofauti na mabuyu?? Je hiyo mibuyuu inasafirishwa kwenda wapi? Nazani mleta hoja na wachangiaji mngejibu haya maswali, sio kizungumuzia sura ya mtu!!
Halafu watengeneza ubuyu watakula wapi.Waje dodoma watupunguzie mibuyu maana idadi ya mibuyu ni mingi kuzidi idadi ya binadamu.
Ndio maana yake[emoji1787][emoji1787]