Wakenya tuwaogope kwa lipi wakati nchi yenyewe inasambaratika kiuchumi na kijamii? wao wenzenu wadhani Magufuli anawachokoza kwa makusudi ili apate sababu za kumsaidia Raila, Uhuru amestika ameamua kutulia na kumuomba Amina Mohamed awe mpole asizidishe uhasama, walichoamua ni kuwafidia wenyezile Ng'ombe, Kenya kwa sasa ni very weak country at every sector