WAKENYA TENA

WAKENYA TENA

La Pronto

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2013
Posts
973
Reaction score
1,159
Ndugu zetu wakenya mnakwama wapi???
IMG-20190808-WA0057.jpg
 
too much time...., watafutiwe ardhi sehemu walime na kuwa productive (idle hands are the devils plaything)
 
acha zako zinawasha mbunye zao si mikono kwa ajili ya kukosa kazi
hawana kazi kuandamana ndio kutasadia nini ? hio kitu ni starehe sasa kama kuna mtu anakulazimisha kuifanya kama kibarua fahamu kwamba kuna kitu kina matatizo.., na huenda tatizo ni hao waandamanaji kukosa mvuto (kuandamana kwao tu kunaonyesha kasoro kubwa sana)
 
Hii ni ishara nzuri kwamba waume Kenya ni watu responsible sio kuzaa zaa hovyo kama jirani fulani waliofika millioni 57 na wengine karibu sasa millioni 100. Hongera sana waKenya bora tumalize umaskini kwanza.
 
Jamani ndugu zetu wakenya tuajirini sisi wanaume wa mikoani toka tz tuje tuzime hayo maandamano. Inaonekana kenya chaputa imeshika hatamu
 
Hii ni ishara nzuri kwamba waume Kenya ni watu responsible sio kuzaa zaa hovyo kama jirani fulani waliofika millioni 57 na wengine karibu sasa millioni 100. Hongera sana waKenya bora tumalize umaskini kwanza.
hao wanawake hawahitaji kuzaa wanakiu ya mapenzi. Semeni tu mmekwama muombe msaada msaidiwe kama Tulivyowasadia kwa kuwauzia mahindi basi tuwatumie vijana wakafanye kazi.
 
hao wanawake hawahitaji kuzaa wanakiu ya mapenzi. Semeni tu mmekwama muombe msaada msaidiwe kama Tulivyowasadia kwa kuwauzia mahindi basi tuwatumie vijana wakafanye kazi.
Hamna wa kumcheka mwingine kwa hili. Wanawake wenu wanaweka tumbaku ili kujiridhisha bila kufahamu ya kwamba wanahatarisha maisha yao. Hawa wanaoandamana ni afadhali.Si mara ya kwanza kuandamana.. Sijui wanawake wa kiambu walirogwa na nani 😒
 
Afadhali ya wanaoweka alafu wanamaliza aja zao kimya kimya na kuendelea na shughuli zao kuliko ya hawa wanaoandamana
Hamna wa kumcheka mwingine kwa hili. Wanawake wenu wanaweka tumbaku ili kujiridhisha bila kufahamu ya kwamba wanahatarisha maisha yao. Hawa wanaoandamana ni afadhali.Si mara ya kwanza kuandamana.. Sijui wanawake wa kiambu walirogwa na nani [emoji19]
 
Mkiambiwa muache mihadarati hamsikiii ona pumba uliyocomment
Hii ni ishara nzuri kwamba waume Kenya ni watu responsible sio kuzaa zaa hovyo kama jirani fulani waliofika millioni 57 na wengine karibu sasa millioni 100. Hongera sana waKenya bora tumalize umaskini kwanza.
 
Back
Top Bottom