Wakenya tujitokeze kuishabikia Gor Mahia dhidi ya Yanga ya Tanzania

Unambwembwe ndugu hahaa PAMOJA SANA
 
Last edited by a moderator:
Du! yaani hapa ndio umenichokoza kabisa MK254 tatizo leo nimekuwa bize huku sikunusa leo ningekunyamanzisha lazima utambue mashabiki wakweli wanapatikana SIMBA ushangiliaji wakweli unapatikana SIMBA, sie kuwa wakishinda ni kelele hapana ndio uasili wa mashabika wa SIMBA wakiingia sehem utajua kuwa kuna wapenzi waukwelikweli
 
Last edited by a moderator:

Haya bwana, ila mara ya mwisho Simba kushinda ligi ya taifa ilikua lini....mbwembwe tu.
 
Mshindwe kujitokeza mashindano yakiwa kwenu mjitokeze yakifanyika Bongo. Kichekesho.
 
Mshindwe kujitokeza mashindano yakiwa kwenu mjitokeze yakifanyika Bongo. Kichekesho.
Unacheza aisei, hivi unajua jinsi mashabiki wa Gor hujitokeza ama unaongea. Hadi na Limo.
 
Last edited by a moderator:
Unacheza aisei, hivi unajua jinsi mashabiki wa Gor hujitokeza ama unaongea. Hadi na Limo.

namnukuu victor wanyama "bongo kuna idadi kubwa ya mashabiki wa soka kuliko hapa kenya
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…