pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Tanzania crackdown on dissent sowing fear and stifling human rights As long as am quiet, am safe- Maneno ya Human Rights Watch kuhusu uhuru wa wananchi na haki za kibinadamu kwa majirani zetu Tz. Amnesty International wametoa ripoti kuhusu ukandamizaji wa haki ya kujieleza na ya kutangamana kwa amani kisiasa nchini Tz. A. Int na HRW wameiweka Tz kwenye darubini kuhusu ukiukaji wa mikataba ya kimataifa, ambayo Tz ilitia saini; kulinda haki za kibinadam na uhuru wa wananchi, wa kujieleza. Kando na kuua, kuteka na kunyamazisha upinzani na wanahabari. Ukiangalia masuala yalioangaziwa utashangaa kuona kwamba ni vitu simpo tu na vya kawaida sana. Km. mashirika haya mawili yametaja kufungwa kwa radio ya Swahiba Fm baada ya wao kuripoti kuhusu kufutiliwa mbali kwa uchaguzi Zanzibar mwaka wa 2015. HRW kuzuiwa na GoT kutoa taarifa kuhusu vijakazi wa kitz wanaoteswa Oman na Dubai! [emoji15]