MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hapa ndio huwa sioni tofauti ya mkenya na kitimoto.
kwani sasa hivi sio kazi tena iliwatoa huko.
na mbona bado mnapewa mpaka mahindi ya msaada[emoji23][emoji23][emoji23]
Uchapa kazi ulichangia pakubwa, ila kazi huku ukiogopa ogopa hauwezi ukafanikisha mengi. Nilikua nasoma taarifa za yanayomsibu Kabendera kwenu huko, mpaka mama yake kafariki kwa pressure ya mwanaye kuteseka, yote hayo kisa jamaa kakosoa serikali, mwenzake Tundu Lissue marisasi yalimuondoa kwenye nchi na hana uthubutu wa kukanyaga kwenye ardhi ya mababu zake.
Kwa sasa ushauri wangu kwenu, mshindane misifa, kila mtu asifie na kuimba mapambio maana dah noma huko, msituige uhuru wetu huu hata kidogo maana usitake uwe kafara.
Mjikite kwenye kusifia tu, bana pua, funga macho wewe sifia tu, imba tena uwe kama chizi, kitaani ufahamike kama CCM damu, vaa mavazi na sare za chama, chumbani weka bendera kabisa, kila siku waza CCM, hata ofisini/kanisani/msikitini wakufahamu kama "Yule jamaa wa chama".
Hapo utaishi kwa amani, shughuli zako zitaenda....uwe kama huyu jamaa kwenye hii picha