Wakenya tumewaacha sana kimpira,Yanga na Simba zipo quarter Final CAF championship


Hata wao kuna miaka walitamba sana na Gor Mahia ambayo ishawahi kubeba ndoo ya CAF Cup Winners (Kombe la Washindi) mwaka 87
 
Ila ujue tukiweka ushabiki kando, hiki ni kitendo chenye maana kubwa sana.
Imagine derby yetu bongo ni moja kati ya derby maarufu afrika, and yet timu zote zimetinga robo final kwa kinshindo kikubwa sana ,aisee, hii sio ya kubeza.
 
Ila ujue tukiweka ushabiki kando, hiki ni kitendo chenye maana kubwa sana.
Imagine derby yetu bongo ni moja kati ya derby maarufu afrika, and yet timu zote zimetinga robo final kwa kinshindo kikubwa sana ,aisee, hii sio ya kubeza.
Tuboreshe kwenye marefa wetu sasa, ili timu zijitume zaidi
 

quarter Final CAF championship????​

 
Ila ujue tukiweka ushabiki kando, hiki ni kitendo chenye maana kubwa sana.
Imagine derby yetu bongo ni moja kati ya derby maarufu afrika, and yet timu zote zimetinga robo final kwa kinshindo kikubwa sana ,aisee, hii sio ya kubeza.
basi si mushinde kombe, sio kila mwaka mnakua wasindikizaji tu. hebu jitathmini
 
Mashemeji zetu tuwaache tu!wanachanja sana miraa tizi hawaend!!
 
Mashemeji zetu tuwaache tu!wanachanja sana miraa tizi hawaend!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…