mkuu, hata kwenye afcon, hakukua na mtanzania hata mmoja aloitwa,,, inasikitisha sanaTuboreshe kwenye marefa wetu sasa, ili timu zijitume zaidi
Kizungu chao kipi?Wale wamebaki kuringia kizungu chao tu
MPo msiojua kama ambavyo wapo Wakenya wasiojua. Na wakenya hawana kiingereza cha kujisifia. Wanajisifia kwenu msiojua kiingereza. Otherwise hamna mwenye akili timamu anaweza ringia lugha iwe yake au si yake.Lakini wanatumbia watanzania hatujui ingilishi hata huko robo fainali tumefikiaje?๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
mpira wa vilabu huo, wachezaji asilimia tisini ni kutoka nje ya nchi. ikija kwenye mambo serious kuwakilisha nchi huwa tunawaadhibu namna hii ๐Lakini wanatumbia watanzania hatujui ingilishi hata huko robo fainali tumefikiaje?๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Dahmpira wa vilabu huo, wachezaji asilimia tisini ni kutoka nje ya nchi. ikija kwenye mambo serious kuwakilisha nchi huwa tunawaadhibu namna hii ๐
View attachment 2923068
Acha kulia lia๐๐basi si mushinde kombe, sio kila mwaka mnakua wasindikizaji tu. hebu jitathmini
cheki hapaTunaongelea mambo ya mpira wewe unaanza oh riadha sijui nini; una akili kweli?
ukweli unauma aisee!
Upuuzi mtupu. Hebu onyesha timu mbili za mpira.๐
Hata Kipchoge kwao NarumuWakenya wanasema Yanga na Simba ni timu zao
Kwa uchezeshaji ule wa ligi kuu tukiendelea vilevile hatutokuja kanyaga huko,mkuu, hata kwenye afcon, hakukua na mtanzania hata mmoja aloitwa,,, inasikitisha sana
View attachment 2923066
hizi hapa ๐Upuuzi mtupu. Hebu onyesha timu mbili za mpira.๐
Mbona unapapatika wewe nyangโau; huoni haya?๐
siku ukiacha mipasho na maneno ya kwenye khanga ntakuona mtu wa maana sanaMbona unapapatika wewe nyangโau; huoni haya?๐
Kubali tu yaishe.๐siku ukiacha mipasho na maneno ya kwenye khanga ntakuona mtu wa maana sana
Basi na Tanzania hiyo ni ya kwenu maana hatujui ingilishi ๐คฃ๐คฃ๐คฃ. Ninyi ndio wadosi wetu si mnajuanga?mpira wa vilabu huo, wachezaji asilimia tisini ni kutoka nje ya nchi. ikija kwenye mambo serious kuwakilisha nchi huwa tunawaadhibu namna hii ๐
View attachment 2923068
Sisi tulipeleka timu nyie endeleeni kupeleka marefamkuu, hata kwenye afcon, hakukua na mtanzania hata mmoja aloitwa,,, inasikitisha sana
View attachment 2923066
Nyie ndiomaana mlikula banmpira wa vilabu huo, wachezaji asilimia tisini ni kutoka nje ya nchi. ikija kwenye mambo serious kuwakilisha nchi huwa tunawaadhibu namna hii ๐
View attachment 2923068