Wakenya tumewaacha sana kimpira,Yanga na Simba zipo quarter Final CAF championship

Mashemeji zetu tuwaache tu!wanachanja sana miraa tizi hawaend!!
 
Lakini wanatumbia watanzania hatujui ingilishi hata huko robo fainali tumefikiaje?๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
MPo msiojua kama ambavyo wapo Wakenya wasiojua. Na wakenya hawana kiingereza cha kujisifia. Wanajisifia kwenu msiojua kiingereza. Otherwise hamna mwenye akili timamu anaweza ringia lugha iwe yake au si yake.
 
Lakini wanatumbia watanzania hatujui ingilishi hata huko robo fainali tumefikiaje?๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
mpira wa vilabu huo, wachezaji asilimia tisini ni kutoka nje ya nchi. ikija kwenye mambo serious kuwakilisha nchi huwa tunawaadhibu namna hii ๐Ÿ‘‡
 
mpira wa vilabu huo, wachezaji asilimia tisini ni kutoka nje ya nchi. ikija kwenye mambo serious kuwakilisha nchi huwa tunawaadhibu namna hii ๐Ÿ‘‡
View attachment 2923068
Basi na Tanzania hiyo ni ya kwenu maana hatujui ingilishi ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ. Ninyi ndio wadosi wetu si mnajuanga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ