Wakenya tunajifunza nini kutokana na taarifa kwamba mafisadi wamechota 1.5 trillions Tanzania

kwa ufisadi Tanzania inaongoza Africa 100%. mimi pia nimezaliwa Tanzania najua viongoz wa kule Tanzania ni mafisadi kweli kweli sawa na brazil hakuna tofaut kwa ufisadi
mbaya zaidi hawawekezi hapa nchini, wao wanaenda kuficha nje ya nchi.........

wangejenga viwanda/miradi hapa hapa home uchumi wetu ungekua mkubwa sana, na ajira zingekuepo!
 
Ninyi wakenya tumewaoa leo hata siku hazijapita mmeanza kidomodomo??
 
Ninyi wakenya tumewaoa leo hata siku hazijapita mmeanza kidomodomo??

Hehehe!! Hivi huyu Ali Kiba hakua na mke, awe ndio yale ya dini inaruhusu hadi wanne.

Aisei hilo shamba lenu la bibi mnalitafuna sana kwa kweli, 1.5 trillion na bado mpo mpo tu. Pesa ya mboga hiyo.
 
Sasa kwanini hazikuingizwa kwenye bajeti tujue kimetumika kiasi gan cha pesa?kama kweli kuna nia njema basi bunge lingeidhinisha then tungejua garama halisi ya hivo vitu vyote juu,,,,lakin kwann wafanye kwa siri,huon kama wanapofanya hivyo wanaweza kuwa wamepiga na cha juu
 

Kwanini hizo hesabu amkumpa CAG?
 
Sababu ya wasaliti kama tudu lissu na wapinzani wengine ambao hawana haya ya kuzinadi siri na strategy za kufufua shirika la ATCL. Wabunge wengine huwa na nia mbaya sana
 
Weka uzalendo mbele tumbo nyuma hizo buku 7 zitakusaidia nn? Je ziliidhinishwa na bunge? Risiti zake ziko wapi? Toa fact to fact tuelewe nyie wasemaji wa jiwe.Kila mmoja anakuja kivyake kafulia wanasema hivi,slow anasema hivi.
 
Pesa imetumika katika matumizi mengine ya serikali. Pili kwani Chato sio Tanzania.?? Hivi utaweza mtibu jirani yako kabla ujajitibu wewe ??
Yapi hayo yasiyoonekana kwenye ripot. Hela zetu zile ujue? Mchezeee za mama zenu wakiuza sangara sio zetu bwashee.Tunataka majibu Hoja kwa Hoja sio Hoja kwa pyuuu pyuu haisaidii.
 
We Uko nchini kweli MBONA ilishajitoa kwenye kujiendesha kiuwazi,bunge live limezuiwa,kuuwa upinzani ili wasipatikane watu wa kuhoji,ili tuibiwe sawasawa,ndo maana fuko anakaa nalo mwanaziara za kushtukiza mbele ya macamera,
 
Huu Ushahidi ni wa kisengerema kbs,lakin hatuwezi kuwalaumu sana labda na ww kadamu ka 1.5trilion kamekumwagia ndio sababu upo busy kutetea
 
kwa ufisadi Tanzania inaongoza Africa 100%. mimi pia nimezaliwa Tanzania najua viongoz wa kule Tanzania ni mafisadi kweli kweli sawa na brazil hakuna tofaut kwa ufisadi
Heri hata ya za awamu iliyopita zikipigwa juu tunanufaika wote hadi sie waosha Magari, na mashoe shine keep chenji zilikuwa za kutosha, lkn akitawala Mkristo huwa hazifiki chini zikipigwa juu wa juu ndo ufaidika.
 
yaani mpaka apeleke mswada bungeni???bunge lenyewe limejaa vilaza tu!!yaan kama mi ndo raisi nigekifutilia mbali na kibunge chenyewe..
 
mbaya zaidi hawawekezi hapa nchini, wao wanaenda kuficha nje ya nchi.........

wangejenga viwanda/miradi hapa hapa home uchumi wetu ungekua mkubwa sana, na ajira zingekuepo!
Trump's word,check this shiit,African leader's are most corrupt people they steal from they are poor citizens and keep in foreign country. Shiit hole country!!
 
yaani mpaka apeleke mswada bungeni???bunge lenyewe limejaa vilaza tu!!yaan kama mi ndo raisi nigekifutilia mbali na kibunge chenyewe..
Ili uzipige sawa sawa.
 


RISITI
 
68B Yaweza kujenga Thika super highways mbili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…