Boeing 787pekeyake ni $160 million. Almost 380 billion weka pia CS 300.
Jibu kwa hoja . Sio unasema wakipuuzi.
utetezi mwingine ni wa kipuuzi sana hasa kama huu,
Ahsante kwakunisahihisha. I also had thought the sameBei ya Boeing 787-8 ni $239m
Ccm wanakulipa pesa ngapi kutetea huu uovu? ππππππππUnampa nani pole wakati hiyo pesa imetumika kununua ndege pamoja na ujenzi wa majengo ya Dodoma. Pole umesikia tumefiwa
We acha bana. Eti alipwe pesa? Gani hizo? Labda wanampa juisi na pipi kila mwisho wa wiki. Jombaa, tunabana matumizi buana. [emoji23]Ccm wanakulipa pesa ngapi kutetea huu uovu? ππππππππ
Mlamba viatu huyoutetezi mwingine ni wa kipuuzi sana hasa kama huu,
Wanabana matumizi alafu matrilioni zinaenda na wajanjaππππππππππWe acha bana. Eti alipwe pesa? Gani hizo? Labda wanampa juisi na pipi kila mwisho wa wiki. Jombaa, tunabana matumizi buana. [emoji23]
Majibu Mujarabu ya 1.5trilionView attachment 750617View attachment 750619View attachment 750620View attachment 750621
Kumbe ni siasa tu! Na jamaa analeta Hoja hapa eti 1.5 tn Zimeliwa...Wapinzani kweli wamekosa hoja wanatapatapa tu kama wafamajiππBila shaka MK254 umeona majibu, kama ushakuwa programmed kuwa pesa zimepotea kama nyumbu huwezi kuamini.
Kuondoa utata wa jibu lako unalorudia kila mala. Toa takwimu za gharama za manunuzi unayoongelea ili zifikie 1.5tr.Hakuna ufisadi wa pesa. Pesa zimetumika katika matumizi mengine ya serikali. Ununuzi wa ndege na ujenzi wa baadhi ya majengo na miundombinu haikupitishwa na bunge. Magufuli hasubuli mambo ya bunge kuizinisha mala mchakato. Hizn habari tumeachana nazo. Watu wamekuwa wakiingilia bunge kukwamisha juhudi ya serikali. Tena wengine kutoka mataifa ya nje. Kwa sasa Magufuli ndo waziri wa pesa na matumizi ya nchi. Nchi inasonga mbele mtake msitake
Rada haipo kwenye hesaba za CAG?Pimbi kweli wewe. Kuna Bombardier Q 400 =3. Kuna bombardier CS 300 = 2. Kuna Boeing 787-8 Dreamliner =1. Ujenzi wa majengo wa magereza. Ujenzi wa majengo ya Magomeni kota. Chato uwanja wa ndege. Ujenzi wa ofisi ya waziri mkuu. Ujenzi ikulu ya raisi. Ununuzi wa rada 60.% serikali kuu. Dodoma kuna majengo ya wizara mbali mbali bado unaendelea
Rada haipo kwenye hesaba za CAG?
HAYA KOKOTOA KWA KUONYESHA GHARAMA ZA KILA MRADI ili jumla ziwe 1.5 tr. Kumbuka waziri kajibu tofauti na wewe.