Wakenya tushukuru kwa demokrasia yettu, kama hizi habari nasoma za Tanzania ni kweli

MK254,
Magufuli ameshnda tuzo la amani, ni kipi amekifanya ambacho kimehusshwa na amani, ni kwa ajili ya ndani ya nchi? Au Afrika au wapi. Nitakua nyuma nimeachwa na hizo habari...

Mk254, nakupa pongezI kwa kuwa mwana-Jamiiforums active / "hai", kiasi yakuwa na ufahamu wa maneno yote yanayotumika hapa JF.
Namna hii ndo tunajenga "kufahamiana" wananchi wa Afrika Mashariki bila kutegemea misukumo ya viongozi wa juu wa kisiasa na kwa njia hii ya kijamii, Jumuiya ya Afrika Mashariki itaweza kudumu bila kujali wanasiasa wakibadilishana nyadhifa baada ya vipindI vyao vya uongozi kupita.
 
Comming soon
 
Si tetesi. Mitaa kibao tu ya Eastlands Nairobi huwa ina walinda lango na washika doria wamaasai wa kitz. Kuna wakati gavana wa sasa wa Kiambu Baba yao au ukienda Ferdinand Waititu alifikishwa mahakamani kwa matamshi yake dhidi ya watz. Alipokuwa mbunge wa Embakasi, Nairobi alitamka haya maneno mbele ya umati. 'Wamaasai wote Embakasi warudi kwao tz'. Kisha akasema walimnukuu vibaya na eti alisema masaa hii Embakasi imekuwa tz. Hehehe, haina presha lakini acha ndugu wachape kazi.
 
daah kumbe mnaowaza kwa kitumia WOWOWO bado mpo?
jina lako lenyewe limekaa kifacebook, nenda unakostahili huku ni kwa baba zako
We malaya jiheshimi ,acha kushobokea wanaume malijari wenye uwezo Wa kukutatua malinda
 
Hivi Kenya mna demokrasia au ni usanii tuu. Mgekuwa na demokrasia wanasiasa wenu wasinge kuwa wanalia-lia huku wakiogopa kutishiwa maisha.
 
Wakenya wa Jf mnapenda ligi za kijinga na kujishebedua eti demokrasia yenu??

WTF're u talkin bout?

Hao masheikh mliowaua huko Mombasa ndiyo democracy? Maandamano ya NASA tu polisi wameua mpaka watoto na kuna hadi cases za polisi kubaka.

I guess mleta mada naye ni "Government property"
 
Huu upumbavu kawadanganye wapuuzi wa Lumumba.

Rais wa nchi anataka kuleta machafuko kwenye nchi amepewa onyo na amesisitizwa akatubu mnakuja na story za kipumbavu.

[HASHTAG]#Akatubu[/HASHTAG]
 
Siasa ipi imeingia kanisani???

Mtu akikosea akiambiwa atubu ndiyo siasa imeingia kanisani????

[HASHTAG]#Atubu[/HASHTAG]
 
Acha zako we kibwengo, hao mashekhe walisaidiwa sana. Walipunguziwa domo wakaharakishiwa shughuli yao ya kupatana na bikra zao 72. Hamna dhambi hapo. Hapo ni katika harakati ya kuwasaidia tu. Kenya hamna Guantanamo Bay, kuna hospitali tu, za kuziba tundu za risasi kwenye miili ya watu mashuhuri kama Lissu.
 
Sasa kama Kikuyu anamfukuza Jaluo, Jaluo anamfukuza kikuyu na vivyo hivyo makabila mengine yanafukuzana, kuna ajabu gani kwa mataifa mengine wakifukuzwa?, kwa asili ya wakenya ni wabaguzi, mnabaguana kikabila, kiukoo na hata kielimu, Kumbuka Kenya is a country but not a Nation, very divided and fructured country, ukabila asubuhi, ukabila mchana, ukabila alaasiri, ukabila dinner time, never compared yourselves with a model country- TANZANIA
 
Siasa ipi imeingia kanisani???

Mtu akikosea akiambiwa atubu ndiyo siasa imeingia kanisani????

[HASHTAG]#Atubu[/HASHTAG]
Kakobe haya ongelea kutubu pekee kaongelea vitu vingi(kafanya comparison utawala wa nyerere na wasasa ,muungano akitaka Tanganyika ijitenge........) .Fuatilia kwanza mahubiri ya kakobe ndo uje kuquote post yangu otherwise kaakimya
 
I would have loved to compare Ke with tz but problem is we Kenyans have an allergy for dictators and living like rained on sheep.
 
Wala hujakosea, pia ukabila unamsumbua sana, akisikia Magufuli anasifiwa duniani, anajisikia uchungu kama anataka kujifungua mtoto wa kiume.


Kama haingiliani na mada hii, vipi umejibu kuhusu hizo awards za Uhuru na Magufuli?, au maisha ya Kibera yamekuchanganya?

 
I would have loved to compare Ke with tz but problem is we Kenyans have an allergy for dictators and living like rained on sheep.
If you kill each other like wild animals, how can you compare with a civilized country?
 
.....Hii single ime scratch saaa kwa kupigwa kila siku, tafuteni nyingine.
 
Kakobe haya ongelea kutubu pekee kaongelea vitu vingi(kafanya comparison utawala wa nyerere na wasasa ,muungano akitaka Tanganyika ijitenge........) .Fuatilia kwanza mahubiri ya kakobe ndo uje kuquote post yangu otherwise kaakimya
Mmepanic baada ya mwenyekiti wenu kuambiwa amebaka katiba.

[HASHTAG]#Atubu[/HASHTAG]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…