pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
- Thread starter
-
- #41
Sasa kati ya mimi na wewe ni nani ndio amelewa chakari? Hujaona hiyo link hapo chini kabisa kwenye taarifa ya mada hii?Link iko wapi? What are u smoking bro?
Sent using my Nokia Torch
Ahaaa haaa haaa
Wale waliopigwa risasi wakiandamana hawakuja watu?
Hongera zenu kwa kuwa wanaume waoga. Naona mmejikita kwenye kuikashifu demokrasia ya Kenya ila hamuisifii wala hamdhubutu kuitaja Tz. Sitawakwaza, acha tukubaliane tu, kwamba Kenya kwenye demokrasia bado sana na Tz ndio ina demokrasia kamili, ya kuigwa na nchi zote duniani.Huwezi tamka katiba bila Raila,kama kuna political torelance why yale mauaji ya watu kwenye maandamano wakati baba anarudi kenya toka ziarani
Ukweli mchungu ni kwamba watz wengi kwasasa wanaichukia sana serikali Yao maana Imekuwa katili kwao yani ikitokea vita sasa wengi watakaa upande wa adui ili ccm iangukeBoss umebofya hiyo link hapo na ukasoma taarifa yenyewe? Au umetangulia tu kutupia comment ya kishabik? Hii ni sifa mbaya sana kwa nchi yenu. Wakenya tumeishi kwenye hali kama hiyo ya 'police state' chini ya utawala wa rais mstaafu Daniel Arap Moi, almaarufu Nyayo. Usitamani kuyaona yale ambayo sisi tuliyashuhudia. Wazazi wetu wakivamiwa usiku wa manane na kuzabwa makofi, huku wakinyanyuliwa juu kwa juu na kutupwa kwenye landcruiser na kutawacha tukijiuliza kama ndio itakuwa siku yetu ya mwisho ya kuwaona kwa macho yetu mawili.
More than apolice stateTZ is a police state why lie.
Chuki za ccm kwa upinzani zinazidi mara mia chuki za kikabila Kenya.Nyie mnademocrasia au mnavutwa na ukabila? Ukabila ndo unaoendesha Siasa za Kenya, mengine kelele tu
tanzania familia ni moja tu.......Kenya ni nchi ya familia mbili zinagombana na kupata Kenyatta family na Jaramogi Odinga Oginga. Wengine manyumbu tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapinzani Tz ni chini ya alfu tano..Wote waliompigia kura lowassa wapo sasa Sisiemu..Unawao waongelea ni wadau wa mitandao kama mange kimambi na miguna miguna..Takataka tuu
Nini JPM kaficha? Utawalawa wake ni wa uwazi sana, kila siku ana watumbua mawaziri, wakuu wa polisi nkt tena hadharani...Juzi tu kenyatta kaongea kuhusu mafisadi kwa ubabe....ilibidi afute accout zake zote za social mediaUtawala bora huwa hauna la kuficha wala kuogopa, iwe ni kutoka kwa wengi au walio wachache, hata iwe mtu mmoja. Ningependa uje na takwimu za kueleweka kama ushahidi kwamba wapinzani Tz sio zaidi ya 5,000. Maanake nadhani unaongea kuhusu Tz nyingine na sio hii ambayo wengine wetu tunaifahamu vizuri.
Sawa, nimeelewa.Nini JPM kaficha? Utawalawa wake ni wa uwazi sana, kila siku ana watumbua mawaziri, wakuu wa polisi nkt tena hadharani...Juzi tu kenyatta kaongea kuhusu mafisadi kwa ubabe....ilibidi afute accout zake zote za social media
No no! I admit bado tuna shida kwenye democracy ila time will come kama ilivyokuwa kenya that through tribalism and democracy fighting you shed blood na mkapata katiba nzuri kuliko ya MaRekani but sisi africans tuna shida kwenye kuheshimu katiba coz from first place tunakosa NIA NJEMAHongera zenu kwa kuwa wanaume waoga. Naona mmejikita kwenye kuikashifu demokrasia ya Kenya ila hamuisifii wala hamdhubutu kuitaja Tz. Sitawakwaza, acha tukubaliane tu, kwamba Kenya kwenye demokrasia bado sana na Tz ndio ina demokrasia kamili, ya kuigwa na nchi zote duniani.
Awamu hii ametugonga kichwan nyoka mwenyee sum kaliKenya ni nchi ya familia mbili zinagombana na kupata Kenyatta family na Jaramogi Odinga Oginga. Wengine manyumbu tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nashangazwa tu na wanavojitia hamnazo humu kuhusu taarifa ambazo zimetoka kwa mashirika ya kitanzania, tena yanayofahamika vizuri, kama Legal and Human Rights Commission(LHRC) na Tanzania Human Rights Defenders Coalition(THRDC). Sitaki kuamini kwamba ni kwasababu ya uoga, nadhani ufahamu wa haki zao msingi haupo kabisa pia kwa baadhi ya watanzania.Ukweli mchungu ni kwamba watz wengi kwasasa wanaichukia sana serikali Yao maana Imekuwa katili kwao yani ikitokea vita sasa wengi watakaa upande wa adui ili ccm ianguke
Watanzania wengi ni wapumbavu we unadhani Inaingia akili wanasiasa eti wanaenda ccm kuunga mkono juhudi za malaika juhudi zipi ? Hata kama wanatishiwa kuuwawa kwa wingi wao wangeshtaki hata unMimi nashangazwa tu na wanavojitia hamnazo humu kuhusu taarifa ambazo zimetoka kwa mashirika ya kitanzania, tena yanayofahamika vizuri, kama Legal and Human Rights Commission(LHRC) na Tanzania Human Rights Defenders Coalition(THRDC). Sitaki kuamini kwamba ni kwasababu ya uoga, nadhani ufahamu wa haki zao msingi haupo kabisa pia kwa baadhi ya watanzania.
Huifaham Tz wewe. Wacha nikuache na ujinga wako, nchi yako ako na hali mbaya, unajifanya kuwa concerned na Tz. Baki hapo.Utawala bora huwa hauna la kuficha wala kuogopa, iwe ni kutoka kwa wengi au walio wachache, hata iwe mtu mmoja. Ningependa uje na takwimu za kueleweka kama ushahidi kwamba wapinzani Tz sio zaidi ya 5,000. Maanake nadhani unaongea kuhusu Tz nyingine na sio hii ambayo wengine wetu tunaifahamu vizuri.
Jamaa anasema bofya link, wakati hakuna link. Anatafuna miraa huyo.Link iko wapi? What are u smoking bro?
Sent using my Nokia Torch
Hao ni NGOs kama tu wale walio kuwa na ungomvi mwingi sana 2017 wakati wa uchaguzi kenya..Bahati nzuri uhuru aliwahangaisha vilivyo, wengi wakafuatwa na kesi za KRA wengine kesi za usajili gushi..Mimi nashangazwa tu na wanavojitia hamnazo humu kuhusu taarifa ambazo zimetoka kwa mashirika ya kitanzania, tena yanayofahamika vizuri, kama Legal and Human Rights Commission(LHRC) na Tanzania Human Rights Defenders Coalition(THRDC). Sitaki kuamini kwamba ni kwasababu ya uoga, nadhani ufahamu wa haki zao msingi haupo kabisa pia kwa baadhi ya watanzania.